Bashe amlipua Membe

Bashe amlipua Membe

Marko 3 : 24
Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama;
Wadau mtanisamehe kwa kauli yangu ninayotaka kuitoa......dhidi ya CCM, "nikiliona tu hili jina CCM, nachefukwa na roho mara 12"

 
Mambo ya Mungu hayo, ni kanuni ya kimaumbile kwamba kilicho zaliwa hukua, kuzeeka na kisha kufa. Chama cha mapinduzi kimefikia stage hiyo, na bahatimbaya hawaambiani ukweli kuwa chama kinakufa, badala yake wamesambaratika, nahawana mkakati wa pamoja wa kufanya mbadala. Sie yetu macho, tunaendelea na kukijenga chama chetu!....pipozzzzzzzzzzzzzzzz
 
yaani hawa naona kifo ndio hicho kinakuja. kweli ukiangalia ccm ni kama kichaka ambacho wahalifu kama bashe, nape, lowassa, chenge, nk. wamekimbilia ili kuficha maovyu nahao ndio wanakiua chama kwa kuwa hawako kukijenga bali kukigawa
 
chama cha mapinduzi kipindi cha nyerere kilikuwa kwenye elastic, Mwinyi na mkapa walikiweka chama kwenye peak lakini mzee wacheka cheka leo hii kaamua kukiweka kwenye inelastic na pengine inaweza tokea fatigue na huo ndio utakuwa mwisho wa ccm kama ilivyokuwa kwa KANU.
 
Chama la KAMBALE hilo.....baba ana sharubu, mama ana sharubu na watoto wana sharubu.

:target: Kilichobaki ni UHURU wa manyani! chochote, wakati wowote yanaBEBA tu! ukisubiri utaratibu umekwisha!!!
 
Hapa sasa ni patamu kweli kweli,mwisho watatoleana tena bastola,hila Bashd ni MIC ya EL na RA.kampeni ni kumvua kofia moja baba riz1
 
Nadhan huyu ni kijana wa Lowasa, Em nikumbushe ana cheo gan CCM!? Au ni mwanachama tu..!
 
Waasisi wake wengi wamekufa. Kifo si ajabu, ajabu ni kuishi kupitiliza. Mpaka sasa kipo na kinadunda na bado ni kijana kabisa kwa umri wa vyama duniani.
tatizo hiki sio chama ni genge la walafi
 
LAKINI KWELI UYU DOGO C MTANZANIA, SIAMINI KM KAWAWEKA UHAMIAJi KT MFUKO WAKE ATA HAWA UHAMIAJI? KWELI BASHE NI NOUMA
Hawa ccm siku zote huwa nawafananisha na wale waliokuwa wanajenga mnara wa babeli.Sasa hivi hawaongei lugha moja wakaelewana.Yaani mwenyezi mungu kawapiga laana kutokana na madhambi yao kwa watanzania kama alivyowashushia laana wale waliokuwa wanajenga mnara wa babeli.Kwa kifupi, wana ccm sasa hawaongei tena lugha moja na kilichobaki ni kwa wao kusambaratika kama ilivyokuwa kwa wale wajenzi wa mnara wa babeli.Wanatumikia laana bila kujijua.
 
Mkuu unapenda kupakuliwa eeh?
Sio Apakuliwe huyo mpishi na Basha wake hawana ubavu wa kuita conference iwe jikoni au kwenye magazeti yake, leo asubuhi kaambiwa anasambaza vipeperushi vya kumkataa Mkiti wake karuka kisomali sasa km katumwa na EL kwa kuukimbia Mkut/Mkuu Taifa wanajiwashia moto wenyewe
Arudi naye jikoni
 
Yatatimia lini maneno ya unabii huu? na nini dalili za utimilifu wake??
Angalia mambo yaliyokuwa yanatokea Kwenye KANU ya Kenya na chama tawala cha ZAmbia hapa karibuni....kisha angalia
haya yanayotokea CCM kila kukicha. Hata hivyo hakuna chama chochote hapa duniani ambacho kitatawala milele
 
Mithali 10:9 Haki huelekea uzima;Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe. ..ccm ilifuata uovu na ndo mauti yake.
 
Habari nilizozipata muda huu kwenye chanzo cha kuaminika zinasema kwamba Hussein Bashe yupo anafanya press conference miongoni mwa yaliyojiri ni kwamba kamshukia Membe kwamba ni MNAFIKI na anaishi kwa kubebwa huku akimtumia kibaraka wake bw Lazaro Nyalandu kumchafua,bado anaendelea kuzungumza akimaliza tu uzi wote hapa.Narudi jikoni.
Bashee, ngoja nae Kingwangwaraa aje akumalize!
 
Habari nilizozipata muda huu kwenye chanzo cha kuaminika zinasema kwamba Hussein Bashe yupo anafanya press conference miongoni mwa yaliyojiri ni kwamba kamshukia Membe kwamba ni MNAFIKI na anaishi kwa kubebwa huku akimtumia kibaraka wake bw Lazaro Nyalandu kumchafua,bado anaendelea kuzungumza akimaliza tu uzi wote hapa.Narudi jikoni.

Iweke yote mkuu,unajua Bhashe wamemuonea sana na wanamuogopa katika masuala ya Siasa,Membe hafai na kwa sasa we angali tu namna ambavyo anamtumia Mbunge mmoja ndani ya Bunge kusema mambo ya ajabu akiwa na lengo la kuwachafua wenzake.
 
Bado uko jikoni?

Habari nilizozipata muda huu kwenye chanzo cha kuaminika zinasema kwamba Hussein Bashe yupo anafanya press conference miongoni mwa yaliyojiri ni kwamba kamshukia Membe kwamba ni MNAFIKI na anaishi kwa kubebwa huku akimtumia kibaraka wake bw Lazaro Nyalandu kumchafua,bado anaendelea kuzungumza akimaliza tu uzi wote hapa.Narudi jikoni.
 
Habari nilizozipata muda huu kwenye chanzo cha kuaminika zinasema kwamba Hussein Bashe yupo anafanya press conference miongoni mwa yaliyojiri ni kwamba kamshukia Membe kwamba ni MNAFIKI na anaishi kwa kubebwa huku akimtumia kibaraka wake bw Lazaro Nyalandu kumchafua,bado anaendelea kuzungumza akimaliza tu uzi wote hapa.Narudi jikoni.

Huyu Bashe si ndo yuko Dodoma na akina Fred Lowasa na Beno Malisa wakimpigia chapuo Lowasa awe mwenyekiti wa CCM hatimaye awe rais? Kwahiyo ni vita tu ya urais, hamna kitu hapa.
 
Back
Top Bottom