Bashe amlipua Membe

Bashe amlipua Membe

msomali huyo angalieni asije geuza Tz ikawa kama somalia, wao wamezoea bunduki alias al shababu
 
Nimemsikia Bashe kupitia StarTv akimponda Membe na mpambe wake Nyalandu. Anasema Membe ni mnafiki, muongo na wa kumwogopa kama ukoma!

Membe alimtuma Nyalandu kupitia vijana wake kuvuruga uchaguzi wa UVCCM siku chache zilizopita.

Membe rais, Nyalandu waziri mkuu.

Duh!! Sinema limefika patamu.

Subiri tuone upande wa pili utakavyojibu mashambulizi.
 
Wanabodi,
Amesema hayo alipoongea na wandishi wa habari leo. Akimtuhumu Mhe Membe kuwa ni mtu hatari wa kuogopwa kama ukoma kwani ndiye anayegawa wana chama, huku akiwatumia vijana kama wakina Matefu kwa vipeperushi. Ndiye pia aliyewatuma kuvuruga uchaguzi wa UV CCM Akimtuma Mhe Nyarandu kuleta vurugu wakati wa uchaguzi wa vijana. Na aliyewakabidhi chadema nchi mwaka 2015 ndiyo maana ni mtu hatari wakuogopwa kama ukoma, mnafiki. Haya yamo katika taarifa yake tamko lake kwa tuhuma za kuhusishwa na vipeperushi vya kumkataa Mhe Rais kuwania Uenyekiti wa Chama iliyosambazwa kwenye vyombo vya habari.
Haya yakiwa ni kati yaliyosikika kwenye taarifa ya habari STAR TV.
Wanajamvi kazi kwenu CD nyingine hiyo baada ya ile yakutosomewa majina tuliyoahidiwa.
CCM Zaidi tuijuavyo.
 
Bashe si aende zake kwao Somalia afanye huo uganganjaa wake? Yaani haoni kuwa CCM yote ni hatari akiwamo muungu wake EL? Hata hivyo ana uchungu gani na nchi isiyo yake wakati yake imesambaratika? Nadhani huyu anataka wote tufanane.
 
[h=5]‎"Kwa maslahi ya chama chetu, kwa maslahi ya nchi yetu Membe ni hatari kama ukoma".... By Hussein Bashe; 2012.


[/h]
 
Mungu aliwachanganya wamisri na kuwapa kiburi cha kuwafuatilia
waisraeli waipokuwa wanavuka bahari ya shamu
walipothubutu kuvuka katika bahari aliwafutilia mbali na yale maji
CCM nao naona wako njiani kufutiliwa mbali
na wananchi kwa mtindo wao wa kuanikana maovu hadharani
wananchi wameshashtuka hakuna tena jipya
kwao zaidi ya kutumia chama kwa maslahi binafsi
 
Pamoja na kwamba ccm wote hawafai ila mie nafikiri huyu mkimbizi alitakiwa kurudi kwao kwa viboko,wameifilisi nchi yetu
 
Ameshema hayo alipoongea na wandishi wa habari leo kuwa membe ni mtu hatari wa kuogopwa kama ukoma kwani ndiye anayegawa Chama, anawatumia vijajna vibaya ndiye aliyewatuma kuvuruga uchaguzi wa U CCM Akimtuma Mhe Nyarandu pia ndiye aliyewahidi chadema nchi 2015 Yamo katika tarifa yake kwa vyombo vya habari haya yakiwa yamesikika kwenye taarifa ya habari STAR TV
Wanajamvi kazi kwenu CD nyingine hiyo baada ya ile yakutosomewa majina tuliyoahidiwa.
CCM Zaidi tuijuavyo.
Membe ni Kachero sasa Bashe alitaka Membe akabidhi nchi Kwa Lowasa badala ya Chadema???

Kama Membe anataka nchi iende Chadema ni Move Nzuri hatutaki Nchi iwe Mikononi mwa Mwizi Lowasa!!!
 
Huyu na Rostam,Machinga Membe,EDDO ni watu wa kuwaogopa,wacha wamalizane.
 
Vita Vya Panzi, Neema Kwa Kunguru, Minyukano hii ni Manufaa kwa Wengine.


Wanabodi,
Amesema hayo alipoongea na wandishi wa habari leo. Akimtuhumu Mhe Membe kuwa ni mtu hatari wa kuogopwa kama ukoma kwani ndiye anayegawa wana chama, huku akiwatumia vijana kama wakina Matefu kwa vipeperushi. Ndiye pia aliyewatuma kuvuruga uchaguzi wa UV CCM Akimtuma Mhe Nyarandu kuleta vurugu wakati wa uchaguzi wa vijana. Na aliyewakabidhi chadema nchi mwaka 2015 ndiyo maana ni mtu hatari wakuogopwa kama ukoma, mnafiki. Haya yamo katika taarifa yake tamko lake kwa tuhuma za kuhusishwa na vipeperushi vya kumkataa Mhe Rais kuwania Uenyekiti wa Chama iliyosambazwa kwenye vyombo vya habari.
Haya yakiwa ni kati yaliyosikika kwenye taarifa ya habari STAR TV.
Wanajamvi kazi kwenu CD nyingine hiyo baada ya ile yakutosomewa majina tuliyoahidiwa.
CCM Zaidi tuijuavyo.
 
Wanabodi,
Amesema hayo alipoongea na wandishi wa habari leo. Akimtuhumu Mhe Membe kuwa ni mtu hatari wa kuogopwa kama ukoma kwani ndiye anayegawa wana chama, huku akiwatumia vijana kama wakina Matefu kwa vipeperushi. Ndiye pia aliyewatuma kuvuruga uchaguzi wa UV CCM Akimtuma Mhe Nyarandu kuleta vurugu wakati wa uchaguzi wa vijana. Na aliyewakabidhi chadema nchi mwaka 2015 ndiyo maana ni mtu hatari wakuogopwa kama ukoma, mnafiki. Haya yamo katika taarifa yake tamko lake kwa tuhuma za kuhusishwa na vipeperushi vya kumkataa Mhe Rais kuwania Uenyekiti wa Chama iliyosambazwa kwenye vyombo vya habari.
Haya yakiwa ni kati yaliyosikika kwenye taarifa ya habari STAR TV.
Wanajamvi kazi kwenu CD nyingine hiyo baada ya ile yakutosomewa majina tuliyoahidiwa.
CCM Zaidi tuijuavyo.

Mh. Bashe umefilisika kifikra, usikubali kutumiwa kama kikaragosi. Wewe ninavyokufahamu hata kama una njaa usikubali kutumiwa namna hii. una bright future ahead of you.
 
Back
Top Bottom