johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,635
- 142,977
Kwa sababu wamemfungia mondi?Basata wana hali ngumu sana.. yetu macho
Kwa sababu wamemfungia mondi?
Hivi Konki master ndiyo mshauri wa Diamond ehhNi muhimu Almasi awe mvumilivu kwenye kipindi chote cha adhabu.
Wapimwe,hawa wanatumia kokeniNilicho chukia mimi ni kumjibu yule mzee jeuri
Waliohamia wote walikuwa washapotezarecord zinaonyesha hakuna mwanamziki yoyote wa kitz aliyehamia kenya akafanikiwa.
rejea taarifa mbalimbali kuhusu mwanamziki mr. nice na rose muhando. kumbuka hawa wote walihamishia makazi yao ya kudumu nchini kenya.wako wapi hivi sasa kimuziki. ukipata jibu tafakari.
kama diamond anataka kushuka kimziki ghafla na kupotea katika ramani afate ushauri wako.
Tutaje makosa yapi wanayofanya kulinganisha na huu upuuzi wa basataSasa unataka Diamond aendelee kutukana tu kwenye nyimbo zake na apuuze agizo la BASATA na aachwe tu??..Who do you this Diamond is??
Marekani huko wasanii wakubwa tu wakivunja sheria wanatiwa ndani,bongo mnataka mtu akiwa tu maarufu afanye alitakalo
Angalia wewe hakuna laana ya aliyelaaniwa na Mungu inamfikia mtu,mwanaume anayetelekeza familia ana laana ya MunguLaana ya Baba yake imeanza kumwijia taratibu, ww mzazi wako anaumwa tena ni mwanaume mwenzio lkn kijana umeota mapembe kana kwamba mungu umesoma nae comes around goes around
Subiri habari zako sijui utanuna badaeKuna wale walisherehekea fiesta ya dar kufanyiwa figisu,
Leo siwaoni kabisa.
Kumbe ilikua ni UgandaSote tumeona kwenye mitandao ya kijamii clip inayomuonesha naibu spika Tulia alipokuwa Uganda kwenye michezo ya wabunge akiselebuka mziki wa Diamond uliofungiwa na Basata Mara baada ya kuibuka washindi jumla ktk michezo hiyo.
Yeye kama kiongozi wa watunga sheria alipaswa kuwa mfano ktk kuzitii sheria anazozitunga badala ya kuzivunja.
Sasa kama naibu spika ameucheza wimbo uliofungiwa hadharani, iweje iwe kosa kwa mwenye wimbo kufanya hivo?
Hatua gani zimechukuliwa dhidi yake?
Ingekuwa Ulaya hivi sasa angekuwa anamenya ndizi huko kwao Tukuyu na unaibu spika anausikia kwenye redio tu.
hv hapo uwanja wa ndege walisemaje hao watoto??Faini walipigwa mara ya jwanza,hawa ni habitual offenders,faini si suluhu,jana wameitukana serikali pale uwanja wa ndege