siku tatu=uwongo kama kawaida ya magamba<br />
<br />
acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
<br />
<br />
Vyovyote vile lakini wabunge wa Chadema bado wanatafuna posho walizokuwa wanapiga kelele zifutwe.
<br />mchagga kwa hela!!! ndio hawa wanaotaka tuwape nchi!!
<br />
<br />
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
Ndugu yangu kuacha posho ni kazi yale yalikuwa mawazo binafsi ya Mbowe
Siku tatu????
Sijui kama hili linaukweli!
Nimachojua mimi ni vikako vitatu!
Damn dogwalikuwa wanatishia nyau
Ninavyojua mpaka sasa hivi Zitto Kabwe ha-sign daftari la mahudhurio na hivyo posho hakuna.
Can you imagine greedy Lema bila posho? Anaweza kushawishika kurudia kazi yake ya zamani!
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
Waulize wenye VX na Vogue Arusha watakuambia!Mkuu kazi ipi?
Kwa hiyo?????????Kama wanachosimamia ni haki waache kusaini halafu warudi kwa wapiga kura. Wabunge njaa tu hao<br />
<br />
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.