Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

Si tulisikia Mwenyekiti CDM, Mbowe, kaisharudisha ilo gari, na Gazeti la Mwananchi likaandika pia sasa hizi habari zimetoka wapi tena
 
kama hii habari ni ya kweli basi kuanzia leo nasema hivi "HII NDO CHADEMA, NIZAIDI YA TUIJUAVYO" dU!
watapoteza mvuto siku chache tu zijazo.
 
Bunge ndo kikao hiki kinaelekea mwisho,
Wakati linaanza iliibuka issue ya kupinga posho na watu wakajitwalia sifa za kutosha.
Kwa nini CDM mmeendelea kulamba posho taratiiiiiiiiiiiiiiiibu kinyume na msimamo wenu?
Hii si ni kuwahadaa waTZ?
Na mh. Mbowe inasemekana lile shangingi hakurudisha kama alivotamba bungeni.
Tuwaeleweje sasa?
 
Ninavyojua mpaka sasa hivi Zitto Kabwe ha-sign daftari la mahudhurio na hivyo posho hakuna.
 
Sasa hivi wapo busy na kufukuza madiwani wakitoka huko wanakwenda kwenye uchaguzi Igunga hilo la posho lilikuwa ni nguvu ya soda kama katiba.
 
Ndugu yangu kuacha posho ni kazi yale yalikuwa mawazo binafsi ya Mbowe
 
Bunge ndo kikao hiki kinaelekea mwisho,
Wakati linaanza iliibuka issue ya kupinga posho na watu wakajitwalia sifa za kutosha.
Kwa nini CDM mmeendelea kulamba posho taratiiiiiiiiiiiiiiiibu kinyume na msimamo wenu?
Hii si ni kuwahadaa waTZ?
Na mh. Mbowe inasemekana lile shangingi hakurudisha kama alivotamba bungeni.
Tuwaeleweje sasa?
Kwani hujui?
 
Ninavyojua mpaka sasa hivi Zitto Kabwe ha-sign daftari la mahudhurio na hivyo posho hakuna.
<br />
<br />
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
 
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
umeacha neno 'bila taarifa ya spika'.
 
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
Siku tatu????
Sijui kama hili linaukweli!
Nimachojua mimi ni vikako vitatu!
 
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.[/QUOTE]

Kama hujui ni vyema ukauliza, na sio kupotosha umma..unajua tofauti ya siku tatu na vikao vitatu, ama unakurupuka tu!..
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Acha kuhadaa umma! Mbunge yeyote asiposaini daftari la mahudhurio kwa siku tatu mfululizo anahesabika hayupo na nafasi yake inatangazwa wazi kwa ajili ya uchaguzi.
<br />
<br />
Tuambie ni kifungu gani kinasema ivyo na kwanini zito asifukuzwe kipindi kile alipofikisha siku 3
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tuambie ni kifungu gani kinasema ivyo na kwanini zito asifukuzwe kipindi kile alipofikisha siku 3
<br />
<br />
Zitto anakula posho kama kawaida wewe. Mnadanganywa mnakubali tu.
 
Cdm mnataka kuwa na nguvu ya zima moto kama magamba? Mtuweke wazi sasa ile hoja yenu iko wapi sasa
 
Siku tatu????<br />
Sijui kama hili linaukweli!<br />
Nimachojua mimi ni vikako vitatu!
<br />
<br />
Vyovyote vile lakini wabunge wa Chadema bado wanatafuna posho walizokuwa wanapiga kelele zifutwe.
 
Vyovyote vile lakini wabunge wa Chadema bado wanatafuna posho walizokuwa wanapiga kelele zifutwe.
Hili mbona lipo wazi?
Ili ilikuwa ni kujitafutia tu umaarufu!
sassa hivi wapo kimyaaa...
`
 
Back
Top Bottom