Barua ya wazi kwa Mkurugenzi wa VETA; Ombi la kuruhusiwa kuomba nafasi ya kazi

Barua ya wazi kwa Mkurugenzi wa VETA; Ombi la kuruhusiwa kuomba nafasi ya kazi

Ndiomimitz

Member
Joined
Oct 3, 2022
Posts
9
Reaction score
10
Ombi la Kuruhusiwa Kuomba Nafasi ya Kazi – Vocational Teacher II (Plumbing and Pipe Fitting)

Ndugu Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA),

Kwa heshima kubwa, mimi naandikia barua hii kwa niaba ya wahitimu wa Diploma in Pipe Works Engineering nikiwa na lengo la kuwasilisha ombi letu rasmi kwa mamlaka yako tukufu.

Kwa sasa kumetangazwa nafasi za kazi za Vocational Teacher II – Plumbing and Pipe Fitting, ambazo kwa masharti yake zinahitaji waombaji kuwa na stashahada (diploma) katika fani ya water supply and sanitation engineering au Civil Engineering. Hata hivyo, tunaomba mamlaka yako izingatie Diploma ya Pipe Works Engineering kama sifa mbadala inayolingana na mahitaji ya nafasi hii, kutokana na ukweli kuwa kozi hii imejikita moja kwa moja katika mafunzo ya mifumo ya mabomba, usakinishaji, matengenezo, na usalama wa miundombinu ya bomba — ambayo yote ni msingi wa kazi ya Plumbing and Pipe Fitting.

Tunaamini kuwa kuruhusiwa kushiriki katika mchakato wa kuomba kazi hizi katika mfumo wa ajira portal kutatoa fursa kwa kundi kubwa la vijana waliobobea kwenye sekta hii kuweza kuchangia katika utoaji wa elimu ya ufundi nchini.

Tunaomba jambo hili lizingatiwe kwa upana na kwa mtazamo chanya. Tuko tayari kuwasilisha nyaraka zaidi zinazoonyesha maudhui ya kozi yetu na ulinganifu wake na mahitaji ya nafasi husika.

Ahsante kwa kuchukua muda kusoma na kuzingatia ombi hili.

Wako kwa heshima,
Kwa niaba ya Wahitimu wa Diploma in Pipe Works Engineering
 
Mkuu there's no excuses nenda OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA wanafundishaga post graduate diploma ya VOCATIONAL TEACHER..

NB. HUWEZI KUWA MWALIMU BILA KUFUNDISHWA TEACHING METHODOLOGY NENDA PALE OUT UKASOMEE PAMOJA NA KUA NA HIYO DIPLOMA YAKO
Ombi la Kuruhusiwa Kuomba Nafasi ya Kazi – Vocational Teacher II (Plumbing and Pipe Fitting)

Ndugu Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA),

Kwa heshima kubwa, mimi naandikia barua hii kwa niaba ya wahitimu wa Diploma in Pipe Works Engineering nikiwa na lengo la kuwasilisha ombi letu rasmi kwa mamlaka yako tukufu.

Kwa sasa kumetangazwa nafasi za kazi za Vocational Teacher II – Plumbing and Pipe Fitting, ambazo kwa masharti yake zinahitaji waombaji kuwa na stashahada (diploma) katika fani ya water supply and sanitation engineering au Civil Engineering. Hata hivyo, tunaomba mamlaka yako izingatie Diploma ya Pipe Works Engineering kama sifa mbadala inayolingana na mahitaji ya nafasi hii, kutokana na ukweli kuwa kozi hii imejikita moja kwa moja katika mafunzo ya mifumo ya mabomba, usakinishaji, matengenezo, na usalama wa miundombinu ya bomba — ambayo yote ni msingi wa kazi ya Plumbing and Pipe Fitting.

Tunaamini kuwa kuruhusiwa kushiriki katika mchakato wa kuomba kazi hizi katika mfumo wa ajira portal kutatoa fursa kwa kundi kubwa la vijana waliobobea kwenye sekta hii kuweza kuchangia katika utoaji wa elimu ya ufundi nchini.

Tunaomba jambo hili lizingatiwe kwa upana na kwa mtazamo chanya. Tuko tayari kuwasilisha nyaraka zaidi zinazoonyesha maudhui ya kozi yetu na ulinganifu wake na mahitaji ya nafasi husika.

Ahsante kwa kuchukua muda kusoma na kuzingatia ombi hili.

Wako kwa heshima,
Kwa niaba ya Wahitimu wa Diploma in Pipe Works Engineering
 
Chuo gani kinafundisha hiyo Diploma? anyways tatizo ni mawasiliano hafifu kutoka Chuo kwenda utumishi sio VETA (waajiri). Ombi lako linapaswa kuandikwa na Chuo ulichohitimu kwenda Utumishi (PSRS) kuwafafanulia na kuwaambia watambue hiyo fani au liende utumishi moja kwa moja 'japo hawatalifanyia kazi hadi wajiridhishe kutoka chuoni na NACTE'
 
Mkuu there's no excuses nenda OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA wanafundishaga post graduate diploma ya VOCATIONAL TEACHER..

NB. HUWEZI KUWA MWALIMU BILA KUFUNDISHWA TEACHING METHODOLOGY NENDA PALE OUT UKASOMEE PAMOJA NA KUA NA HIYO DIPLOMA YAKO
Kwenye Tangazo wameandika kua lazima uwe tayari ku soma ukiwa umeajiriwa
 
Back
Top Bottom