Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 17,562
- 27,633
Barua ya Lissu kwenda kwa Dr William Leo.
Dr William habari, sitaweza kuandika mengi kwenye barua hii sababu sina karatasi za kutosha, ila kama ujumbe utafika naomba uwatumie na watanzania wote mimi nikiwa bado kwenye nondo za gereza.
Siku ambayo nilisema nitasimama na taifa langu la Tanzania ndio siku ambayo nilishambuliwa na marisasi mwili mzima, nilikata katu kuwa mnafiki wa taifa langu nitasema ukweli na kusimamia ukweli.
Hata mke wangu alinishanga kusema narudi Tanzania pia watoto wangu hivyo hivyo wao kutokana na hofu jinsi walivyo nishuhudia nusu marehemu hawakuwa na hamu kubaki Tanzania waliathiriwa pakuwa na tukio hilo hata nilipowaambia narudi Tanzania sikuwalaumu maana walijua narudi kuja kujitoa kafara upya, ila moyoni mwangu nilisema ukweli umweka mtu huru, bado nalipenda na nitaendelea kulipigania taifa langu la Tanzania
Siku natamka kwa habari ya No, Reforms No Election haikuwa kosa,
Siku nasema hadi "kieleweke" haikuwa kosa, ni hadi pale niliposema "WANAIBA NA KUCHIMBA MAKAA YA MAWE AMBAYO KWA MIAKA YOTE HAKUNA MTANZANIA KAFAIDIKA NAYO KWA MIAKA 100 WATU WA ENEO HILO WAMEKUWA MASKINI ILA WAMEKALIA MAKAA YA MAWE AMBAYO KILA DAKIKA MAGARI KWA MALORI YANASAFIRISHA NJE YA MPAKA WA TANZANIA " Kumbe nilikuwa navuruga Ugali wa mapapa wa taifa hili " hao mapapa wa taifa hili, hao wahuni wa taifa hili" sasa nimefunguliwa mashitaka ya kutaka kupindua nchi " mikononi mwangu sina bunduki wala sina mafunzo ya jeshi cha kushangaza zaidi, mtu mmoja tena ambaya sina hata jeshi wala sina kikundi cha ulinzi hata mgambo nimepewa kesi ya uhaini _
Watanzania nimepitia mazito nikiwa huku, nimewekwa mahali ambapo kuna maji taka hata kuchanganywa na wafungwa wa kunyongwa kiafya ya akili inaumiza namna gani, ? hata kudhuria ibada au kunyoosha hata mwili kwa ajiri ya kesho yangu vyote nimebanwa na yote haya napitia sababu ya kuwasemea watanzania katika ile kweli ambayo siku zote humweka mtu huru.
Sitaandika mengi,
Watanzania wawe mahakimu kama wameruhusu niendelee kuteseka hivi hivi na kuumizwa hivi hivi kisa wao acha kikombe hiki nikinywe ila kama sio watanzania wanaonishitaki na kesi hii (public prosecutions) basi dua zenu, maombi yenu, ujasiri wenu na hekima zenu zitaniepusha na kikombe hiki cha mimi kunyogwa kisa kusimamia ile KWELI, Msikubali kuyumbishwa kwa dhana yoyote ile NO, REFORMS NO ELECTION.
DR WILLIAM ASANTE KWA KUNIFIKISHIA UJUMBE WANGU KWA WATANZANIA ! WACHA WAO NDIO WAMUE, MWISHO.
Dr William habari, sitaweza kuandika mengi kwenye barua hii sababu sina karatasi za kutosha, ila kama ujumbe utafika naomba uwatumie na watanzania wote mimi nikiwa bado kwenye nondo za gereza.
Siku ambayo nilisema nitasimama na taifa langu la Tanzania ndio siku ambayo nilishambuliwa na marisasi mwili mzima, nilikata katu kuwa mnafiki wa taifa langu nitasema ukweli na kusimamia ukweli.
Hata mke wangu alinishanga kusema narudi Tanzania pia watoto wangu hivyo hivyo wao kutokana na hofu jinsi walivyo nishuhudia nusu marehemu hawakuwa na hamu kubaki Tanzania waliathiriwa pakuwa na tukio hilo hata nilipowaambia narudi Tanzania sikuwalaumu maana walijua narudi kuja kujitoa kafara upya, ila moyoni mwangu nilisema ukweli umweka mtu huru, bado nalipenda na nitaendelea kulipigania taifa langu la Tanzania
Siku natamka kwa habari ya No, Reforms No Election haikuwa kosa,
Siku nasema hadi "kieleweke" haikuwa kosa, ni hadi pale niliposema "WANAIBA NA KUCHIMBA MAKAA YA MAWE AMBAYO KWA MIAKA YOTE HAKUNA MTANZANIA KAFAIDIKA NAYO KWA MIAKA 100 WATU WA ENEO HILO WAMEKUWA MASKINI ILA WAMEKALIA MAKAA YA MAWE AMBAYO KILA DAKIKA MAGARI KWA MALORI YANASAFIRISHA NJE YA MPAKA WA TANZANIA " Kumbe nilikuwa navuruga Ugali wa mapapa wa taifa hili " hao mapapa wa taifa hili, hao wahuni wa taifa hili" sasa nimefunguliwa mashitaka ya kutaka kupindua nchi " mikononi mwangu sina bunduki wala sina mafunzo ya jeshi cha kushangaza zaidi, mtu mmoja tena ambaya sina hata jeshi wala sina kikundi cha ulinzi hata mgambo nimepewa kesi ya uhaini _
Watanzania nimepitia mazito nikiwa huku, nimewekwa mahali ambapo kuna maji taka hata kuchanganywa na wafungwa wa kunyongwa kiafya ya akili inaumiza namna gani, ? hata kudhuria ibada au kunyoosha hata mwili kwa ajiri ya kesho yangu vyote nimebanwa na yote haya napitia sababu ya kuwasemea watanzania katika ile kweli ambayo siku zote humweka mtu huru.
Sitaandika mengi,
Watanzania wawe mahakimu kama wameruhusu niendelee kuteseka hivi hivi na kuumizwa hivi hivi kisa wao acha kikombe hiki nikinywe ila kama sio watanzania wanaonishitaki na kesi hii (public prosecutions) basi dua zenu, maombi yenu, ujasiri wenu na hekima zenu zitaniepusha na kikombe hiki cha mimi kunyogwa kisa kusimamia ile KWELI, Msikubali kuyumbishwa kwa dhana yoyote ile NO, REFORMS NO ELECTION.
DR WILLIAM ASANTE KWA KUNIFIKISHIA UJUMBE WANGU KWA WATANZANIA ! WACHA WAO NDIO WAMUE, MWISHO.