Mahanisi siku hizi wana watoto?
Matusi ya nini? Huyo jamaa yenu anataka kutuletea balaa. Hivi vinchi vya afrika vikitikingishwa kidogo tu kutulia inakuwa noma. Sasa huyo anaona kifo cha mkuu wa nchi kama suala la utani utani tu
Subiri asomeshwe huko
Mahanisi siku hizi wana watoto?
Mkuu vijana wa geto pale ufipa hawataki kukubali kua huyo kibaka kafanya kosa la uhaini,atoe ushahidi mahakamani kama kweli aliota,watu wanafanya mchezo na matishio ya kuangamiza,kule marekani wakat Mashambulizi ya Trade center yanapangwa yalickika maneno ya kawaida yakapuuzwa na yaliyotokea mpaka leo yamekua historia sasa mtu akurupuke kaota Rais atakufa alaf apuuzwe akiuawa mtajibu nini mliopewa dhamana yakumlinda Acheni kulialia anachopata kinamstahili na natamani angekua Rwanda
Basi Lema asililie Kutoka Kisongo ili awe kama My. Paulo yaani awazidi Mandela na Steve Biko na Patrice LumumbaBarua zote 11 mtume Paul aliandika akiwa gerezani mapaka leo ndo masomo yanayo somwa sana makanisani. Na ndo mafundisho waliyofundishwa wakristo
Umejibu hayo Maswali?Kwani rais akiwa madarakani hafi, alikufa JFK , na wengine wengi na dunia ikaendelea. Mbele ya mola wota lazima tutaonja mauti, haijali tuko madaraka au la
Jibu Maswali, hakuna mtu aliyesema ataishi milele. Yani ufanye ujinga uachwe kisa eti kila mtu atakufa, nini maana ya kuwepo vyombo kama mahakama na vyombo vingine vya kusimamia sheria.Binadamu wote tu mavumbi na mavumbini tutarudi. Hata tukiwa madarakani au wakuu kiasi gani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hakuna kitu kama icho acheni usenge
PamojaGod. Bless Lema....Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen!
Nnaona umesahau na fujo aliyomfanyia mkuu wa mkoa alipokuwa anahutubia pia usisahau na matusi aliyomfundisha mkewe kumtukana mkuu wa mkoa kwa simu pia usisahau mengine mengi ambayo mimi na wewe hatuyajuwi.Nchi yangu Tanzania! Waliokamatwa na mabunduki 17 kwa uwindaji haramu wa tembo (uhujumu uchumi) wamepata damana ndani ya siku 3 alieota na kusema ameota nini ananyimwa damana!!!......kisa? Kumpendezesha aliewateua!! Katiba katiba katiba......! Ikulu ni mahala patakatifu..msipigane ndani ya ikulu ni mwiko na laana........
Akiandika atakuwa ametukana yeye kwa kulikariri hilo tusi.Hebu andika hilo tusi alilotukana.
Ungeandika Godbless Lema. Hayo ma "you" na ma"hero" ya nini?God bless you. Our hero we are behind you.
Nnaona umesahau na fujo aliyomfanyia mkuu wa mkoa alipokuwa anahutubia pia usisahau na matusi aliyomfundisha mkewe kumtukana mkuu wa mkoa kwa simu pia usisahau mengine mengi ambayo mimi na wewe hatuyajuwi.
Tukumbuke tu, kuwa upinzani si kuwa hodari wa matusi.
Matusi hayana dhamana?? Sheria lazima ifuatwe usitishie hata majaji na mahakimu kisa wewe ni mfalme na hujaribiwi!! Mfalme huwa hapigi pigi mke wake hadi kuzimia! Tena ikulu! Busara busara busara
Naona umeamua kujipafaraja kuwa Lema ni Mandela 😀😀😀Lema ana akili sana kuliko wanavyo mdhania. Hakika hii barua mtakuja kushangaa baadae ni moja ya mambo yatakayo tumika kutambulisha harakati za Lema maishani mwake. Hata wakina Mandela barua zao wakiwa jela zimewaongezea umaarufu sana kwenye maisha yao ingawa ni za kawaida tuu.
Kuna tofauti kati ya barua iliyo andikwa na mtu akiwa hospitalini na yule aliyeko jela kwa sababu za kisiasa