Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Ukiacha mistari ya kisiasa ya wachangiaji. Barua ina mengi sana kuhusu maisha. Inatufunza kushukuru kila siku. Inatuonyesha, how blessed we are. Analala saa 12 jioni. Hawezi kwenda atakapo. Hayo ndio maisha ya watu wa huko. Kwa wengine yamewakuta kwa bahati mbaya mno. Wamepoteza hata familia na kila kitu chao.
Kwahiyo, at times we should reserve our comments. Maisha ni ya ajabu sana.
 
Pole yake
Ajue nchi hii kuna mkubwa na mdogo
Hatuwezi kulingana nchi ikaenda
Kama huna adabu
Fanyia ujinga wako kwa mkeo na wapuuzi wenzie.
Lema lazima Ajutie Upumbavu wake
 
Ukiacha mistari ya kisiasa ya wachangiaji. Barua ina mengi sana kuhusu maisha. Inatufunza kushukuru kila siku. Inatuonyesha, how blessed we are. Analala saa 12 jioni. Hawezi kwenda atakapo. Hayo ndio maisha ya watu wa huko. Kwa wengine yamewakuta kwa bahati mbaya mno. Wamepoteza hata familia na kila kitu chao.
Kwahiyo, at times we should reserve our comments. Maisha ni ya ajabu sana.
Alikihitaji mwenyewe awe Mandela
Hahaha
 
Nimeisoma barua ya [HASHTAG]#Lema[/HASHTAG] anaonekana kujuta, hana furaha huko jela , anatamani maisha ya uraiani, na nukuu "Natamani sana nihudhurie Harusi yako, natamani ningeruhusiwa kuja kushiriki tu alafu nirudi tena jela , ila hawanihamini.." "nazani Lema na machozi yanamtoka sana..

Lema anaendelea katika barua yake "Leo jela tulifungiwa mapema sana" anaonekana kujuta sana mfalme Lema..

Pia Lema amesisitiza sana kwa mlengwa wake awe karibu na Mungu katika ndoa yake.. Ili ipate baraka..

Lema pia ameonekana kujuta kukaa jela anasema "Nilipania sana hii ndoa, katika ishu ya mavazi, alitaka kuvaa vizuri ila ndio hivyo yupo nyuma ya Nondo
 
Dah...kawa mpolee... kweli siyo kwa kisport sport[emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji13]
 
Ndiyo atambue kwamba Siasa za namna hiyo hazilipi TZ yetu, ona sasa hakuna hata anayejali kama yuko Jela hata wapiga kura wake wenyewe hawajali mpaka wakumbushiwe kwamba Lema yuko Lupango!
Majuto ni mjukuu
 
kwaajili ya ustawi wa amani na mshikamano tza, hakuna sababu yeyote ya msingi kuendelea kumshiklia lema gerezani, ni ubabe na ina hasara zaidi ya faida kwa mustakabadhi wa amani na mshikamano wa watz wote bila kujali vyama. kusema jambo lolote hata kama sio zuri dhidi ya mkuu wa nchi, ni kosa la kawaida, kwasababu rais sio Mungu, na hatakiwi kuabudiwa. katika democrasia wakati mwingine hata kama alichofanya ni kibaya machoni pa Mungu (alichofanya lema), kibinadamu unaacha tu tuvumiliane kama Mungu anavyotuvumilia ili watu wasikae na vinyongo moyoni, na zaid sana isionekana aliyetukatwa ana onekana kama vile anaabudiwa. ni mtu tu huyo. angekuwa marekani si angeshafunga watu nchi nzima? hata trump angekuwa gerezani leo.
Inawezekana tu yeye anatumiwa ili wengine tujifunze Hoping nawe umejifunza. Ndio maana huthubutu kusema haya kwa kutumia jina laki halali!
 
Ni mjinga pekee anayeshangilia [HASHTAG]#lema[/HASHTAG] kuwekwa gerezani kisa ndoto badala ya kujiuliza aliyekamatwa na bunduki 17zinazotumika kihalifu yupo mtaani anakula bata ndo ujue ccm ni zaidi ya ujinga
Kwa taharifa yako ndoto za kijinga za kiongozi ni hatari kuliko bunduki unayoisema hasahasa pale anapoiwasilisha kwa wafuasi wake wanaomwamini ili waamini kuwa ni mkweli, bunduki inawezwa kamatwa, ujinga ukishalishwa kwenye ubongo wa mtu kutoka ni inachukua muda sana na uharibifu wake ni mkubwa kupindukia.
 
Mungu ni mkuu Lema, haya ya wenye haki kufungwa yalikuwepo tangu enzi za biblia inaandikwa..... utashinda....
 
Back
Top Bottom