Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Dhamana maana yake kumbe usifanye kosa lingine? Au ni kuwa ukihitajika uwepo kwa uhakika bila kukosa na kuruka dhamana ni kama usipotokea unapohitajika.....kutenda kosa ndani ya kosa kama umefungwa kifungo cha nje...acheni akili za kushikiwa mjiongeze! Hadi sasa kwa kesi zote Lema ni mtuhumiwa hajahukumiwa utasemaje ametenda kosa ndani ya kosa?? Akili ndogo.......!very low IQ
alifanya kosa la uchochezi akiwa nje kwa dhamana, ambapo alikuwa amewekwa sero kwa kosa la uchochezi!.

unampaje mtu dhamana ambaye alishindwa kuheshimu dhamana aliyokuwa nayo akafanya tena kosa la uchochezi??

Ni sawa na mtu uibe, upate dhamana, ukiwa nje kwa dhamana ukaibe tena kabla ya kesi yako kuisha.. unawezaje kupata dhaman tena?? wacha wamfundishe adabu. inauma lakini ndo hali halisi.

hajanyimwa dhamana kwa kosa la kusema eti kaota rais anakufa, amenyimwa dhamana kwa kukiuka masharti ya dhamana aliyokuwa nayo.
 
Bavicha mchanga wewe rudia kusoma ulichoandika
Wajinga na name labelling hamuishi kuzaliwa. Tangu asubuhi mpaka ulale unawaza ucdm na uccm tu kichwani mwako. Luna mahali nimejitangaza kuwa cdm kwany andiko language au uliambiwa utalipwa kwa kadri utakavyoitaja cdm?
Fanyeni mfanyavyo Lema ni kirusi chenu ndio maana mnahangaika kumfungia. Lumumba katajwa zaidi ya Mara sabini jana ili kuonyesha alivyo tatizo kwa huyo mteule wenu hapo arachuga.
 
Apumzike huko mpaka mwaka mpya ili ajitafakari Kama kiongozi na kauli zake.
 
Wajinga na name labelling hamuishi kuzaliwa. Tangu asubuhi mpaka ulale unawaza ucdm na uccm tu kichwani mwako. Luna mahali nimejitangaza kuwa cdm kwany andiko language au uliambiwa utalipwa kwa kadri utakavyoitaja cdm?
Fanyeni mfanyavyo Lema ni kirusi chenu ndio maana mnahangaika kumfungia. Lumumba katajwa zaidi ya Mara sabini jana ili kuonyesha alivyo tatizo kwa huyo mteule wenu hapo arachuga.
Dogo rudia kusoma unachoandika kwanza
 
Kama ndivyo kakae wewe ili Lema atoke!

Yeye Si kamanda bana? Isitoshe aliwaambia mawakili wake baada ya rufaa yake kutupwa kuwa waache. Magereza ni shule tosha, siku akitoka humo atakuwa mwandishi mzuri wa vitabu na ataacha kutukana maana atakuwa anawaza kuandika tu
 
Halafu mijitu mingine sijui ikoje,hiyo barua ni ya kawaida sana,lakini kwa kuwa wanapenda attention na kuonewa huruma imeruka hewani
Povu nadhani ukisikia siku lema kapata dhamana utajinyonga[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Akitoka humo itakuwa amejifunza kuandika vitabu Badala ya kutukana. Kweli magereza ni shule
Barua zote 11 mtume Paul aliandika akiwa gerezani mapaka leo ndo masomo yanayo somwa sana makanisani. Na ndo mafundisho waliyofundishwa wakristo
 
Ngoja afunzwe kutii mamlaka kwa vitendo, alilewa uhuru.
Yaliyomkuta LEMA yanaweza kumkuta yeyote ilihali tu yuko kwenye Ardhi hii ya Tanzania iliyopata utawala usiotaka demkorasia. You may be the next.
 
Ni kawaida sana kwa wafungwa na mahabusu kuandika barua kwa wapendwa wao
 
Yaliyomkuta LEMA yanaweza kumkuta yeyote ilihali tu yuko kwenye Ardhi hii ya Tanzania iliyopata utawala usiotaka demkorasia. You may be the next.
No matter what, let him enjoy what he sawn!!
 
Ndoto zake kufariki Rais akiwa madarakani ndio zinamponza, ni jambo kubwa na hatari sana. Anatakiwa ajifunze sasa

Binadamu wote tu mavumbi na mavumbini tutarudi. Hata tukiwa madarakani au wakuu kiasi gani
 
Wewe mwenye akili nikuulize Maswali
1. Wewe una ushahidi kuwa hizo bunduki zilitumika kihalifu? Lema tumemsikia wote
2. Una uhakika upi kama aliyosema Lema ni maono kutoka kwa Mungu?
Yametoka wapi. Unafikiri kutamka kuwa Rais atakufa akiwa Madarakani ni jambo jepesi sio? Na asipojierekebisha mtasikia wenyewe

Kwani rais akiwa madarakani hafi, alikufa JFK , na wengine wengi na dunia ikaendelea. Mbele ya mola wota lazima tutaonja mauti, haijali tuko madaraka au la
 
Ushahidi wa kindoto haupo,na kutabiri raisi atakufa si mchezo jaman,sheria kama mtoto mdogo!lema aombe Neema za mungu tu nje na hapo atafungwa kimasihara siara!ajifunze tu kusoma alama za nyakat,magufuli ni mpinzani wake lkn yeye ni mbunge magufuli ni rais inakupasa umuheshim kwa kuwa ndo kila kitu!Sasa MTU mpinzani wako bado ni rais wako halafu unaleta habari za utabiri kuwa atakufa,kisheria tumweleweje!?je akifa kweli labda kwa mapenzi ya mungu lema atapona?!tuacheni ushabiki wa kisiasa ifike mahali tuseme LEMA amekosea tusimwonee aibu anachotakiwa ni kumwomba mheahimiwa msamaha basi,lkn kiburi chake kitamgarimu.Kukaa jela kwa muda wowote ni haki yake kutokana na MTU aliyemtabilia kifo.Uwezo wa yeye kuzuiwa na hata kufungwa upo mpaka rais atoke madarakani kwan anaweza kuachiwa akafanya lolote baya kwa rais kwan kwa mujibu wa ndoto zake amesema rais hatomaliza muda wake atakufa!!!haki yake kufungwa kutokana na sheria na mtu aliyemtabilia.

Tutajie kifungu cha sheria kinachosema hivyo
 
U-smart gani hapo..??
Acha kusifia Ujinga..
Mnamwogopa Lema.

Mi namwogopa sana Lema. Ni hatari. Yeye anachukulia kifo cha Rais wa nchi kama kifo cha msukuma mkokoteni au raia mwingine yeyote.

Akili zake zitakuwa haziko sawa. Anataka kutuletea balaa huyo. Mwache afichwe kwanza. Huenda akili zitamrudia. Siasa gani za kijinga hivyo
 
Back
Top Bottom