Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Nchi yangu Tanzania! Waliokamatwa na mabunduki 17 kwa uwindaji haramu wa tembo (uhujumu uchumi) wamepata damana ndani ya siku 3 alieota na kusema ameota nini ananyimwa damana!!!......kisa? Kumpendezesha aliewateua!! Katiba katiba katiba......! Ikulu ni mahala patakatifu..msipigane ndani ya ikulu ni mwiko na laana........
Aliye hoji PHD ya mwananchi mwenzake katika kipindi hiki cha uhakiki wa Elimu fake, inahofiwa kauawa!!
 
Kwa ufupi Lema ni mtu mwenye amani, furaha na huru zaidi kuliko watu wengi walioko uraiani lakini wanaishi kwenye vifungo vya hofu na uoga. Mimi justice for Lema. Huo ujumbe ameuandika akiwa gerezani.
 

Attachments

  • LEMA MESEJI.jpg
    LEMA MESEJI.jpg
    21.8 KB · Views: 40
Back
Top Bottom