Kwa hiyo unataka wakasulihishe kifamilia?? Mambo ya nchi unataka yaende kidhaifu namna mpate la kusemakwaajili ya ustawi wa amani na mshikamano tza, hakuna sababu yeyote ya msingi kuendelea kumshiklia lema gerezani, ni ubabe na ina hasara zaidi ya faida kwa mustakabadhi wa amani na mshikamano wa watz wote bila kujali vyama. kusema jambo lolote hata kama sio zuri dhidi ya mkuu wa nchi, ni kosa la kawaida, kwasababu rais sio Mungu, na hatakiwi kuabudiwa. katika democrasia wakati mwingine hata kama alichofanya ni kibaya machoni pa Mungu (alichofanya lema), kibinadamu unaacha tu tuvumiliane kama Mungu anavyotuvumilia ili watu wasikae na vinyongo moyoni, na zaid sana isionekana aliyetukatwa ana onekana kama vile anaabudiwa. ni mtu tu huyo. angekuwa marekani si angeshafunga watu nchi nzima? hata trump angekuwa gerezani leo.
Kama H MchangeJf is gone , it is a matter of time!
Hebu andika hilo tusi alilotukana.Hahahahahah wakati uholanzi wanafunga magereza kwa kykosa wafungwa.... Tz hatuwez funga kwa ajili ya vyamitusi kama hawa kina lema.... Mwacheni akapumzike huko akitoka me naamini atakua na adabu
Ipo siku amuabudue Mungu wa Kweli atajulikana.kwaajili ya ustawi wa amani na mshikamano tza, hakuna sababu yeyote ya msingi kuendelea kumshiklia lema gerezani, ni ubabe na ina hasara zaidi ya faida kwa mustakabadhi wa amani na mshikamano wa watz wote bila kujali vyama. kusema jambo lolote hata kama sio zuri dhidi ya mkuu wa nchi, ni kosa la kawaida, kwasababu rais sio Mungu, na hatakiwi kuabudiwa. katika democrasia wakati mwingine hata kama alichofanya ni kibaya machoni pa Mungu (alichofanya lema), kibinadamu unaacha tu tuvumiliane kama Mungu anavyotuvumilia ili watu wasikae na vinyongo moyoni, na zaid sana isionekana aliyetukatwa ana onekana kama vile anaabudiwa. ni mtu tu huyo. angekuwa marekani si angeshafunga watu nchi nzima? hata trump angekuwa gerezani leo.
So what?Magereza wapo smart sana. Hawakuruhusu Lema kuweka alama yoyote kwenye hiyo barua isipokuwa saini yake ya dole gumba tu
Inabidi akitoka na yeye abadilike, achunge kauli kuhusu Rais, usalama wake na Taifa kwa ujumla, mbona Sugu hayuko hivyo. Abadilike sio zama za JKNchi yangu Tanzania! Waliokamatwa na mabunduki 17 kwa uwindaji haramu wa tembo (uhujumu uchumi) wamepata damana ndani ya siku 3 alieota na kusema ameota nini ananyimwa damana!!!......kisa? Kumpendezesha aliewateua!! Katiba katiba katiba......! Ikulu ni mahala patakatifu..msipigane ndani ya ikulu ni mwiko na laana........
Ni mjinga pekee anayeshangilia [HASHTAG]#lema[/HASHTAG] kuwekwa gerezani kisa ndoto badala ya kujiuliza aliyekamatwa na bunduki 17zinazotumika kihalifu yupo mtaani anakula bata ndo ujue ccm ni zaidi ya ujingaHebu andika hilo tusi alilotukana.
Ndoto zake kufariki Rais akiwa madarakani ndio zinamponza, ni jambo kubwa na hatari sana. Anatakiwa ajifunze sasakwaajili ya ustawi wa amani na mshikamano tza, hakuna sababu yeyote ya msingi kuendelea kumshiklia lema gerezani, ni ubabe na ina hasara zaidi ya faida kwa mustakabadhi wa amani na mshikamano wa watz wote bila kujali vyama. kusema jambo lolote hata kama sio zuri dhidi ya mkuu wa nchi, ni kosa la kawaida, kwasababu rais sio Mungu, na hatakiwi kuabudiwa. katika democrasia wakati mwingine hata kama alichofanya ni kibaya machoni pa Mungu (alichofanya lema), kibinadamu unaacha tu tuvumiliane kama Mungu anavyotuvumilia ili watu wasikae na vinyongo moyoni, na zaid sana isionekana aliyetukatwa ana onekana kama vile anaabudiwa. ni mtu tu huyo. angekuwa marekani si angeshafunga watu nchi nzima? hata trump angekuwa gerezani leo.
Ikulu inaingiaje hapo. Lema yupo maabusu tena arusha ikulu ipo dar. Kuna uhusiano gani hapoNchi yangu Tanzania! Waliokamatwa na mabunduki 17 kwa uwindaji haramu wa tembo (uhujumu uchumi) wamepata damana ndani ya siku 3 alieota na kusema ameota nini ananyimwa damana!!!......kisa? Kumpendezesha aliewateua!! Katiba katiba katiba......! Ikulu ni mahala patakatifu..msipigane ndani ya ikulu ni mwiko na laana........
Wewe mwenye akili nikuulize MaswaliNi mjinga pekee anayeshangilia [HASHTAG]#lema[/HASHTAG] kuwekwa gerezani kisa ndoto badala ya kujiuliza aliyekamatwa na bunduki 17zinazotumika kihalifu yupo mtaani anakula bata ndo ujue ccm ni zaidi ya ujinga