Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,551
Ule mpango wa Watusi kuomba kupewa mkoa wao na kutambuliwa mlidhani wanatania? Huyu Nyamvumba na Mzee wa mikakati, handing sehem kama hakuna operesheni za Siri. Haziwezekani Rwanda ambao wanakabiliwa na mambo mengi ya kimkakati waamue kumleta Mtu wao muhim Nyamvumba kuja kurelax Tanzania!?? Wakati Kuna mambo mengi sana ya kwenda kutekeleza. Basi tambua hapa Tanzania Kuna KAZI muhim ya kufanya kwa Nyamvumba ambayo ni Maslahi ya Watusi. Lazima baada ya Samia Rais awe Mtusi.