Barua Kwa Jakaya Kikwete

Barua Kwa Jakaya Kikwete

Mkuu unamchokoza Ocampo. Je,vipi kuhusu Chabruma na Mohamed Mwaupete huwaga na akili lini?
Chabruma sii ndiyo yule alimpiga mzee Warioba, laana itamtafuna....jina lake halisi ni Daudi Albert na siyo Paul Makonda.....alifoji jina baada ya kufeli so akachukua jina la marehemu
 
Hhahahahahha kwaiyo mkulu yupo humu..........au ndiyo wanatumia ile ya Chabruma na Lizaboni
Chabruma ni Makonda. Lakini katika wanaokuombea mimi nisiwe mnafiki ninaomba uzidiwe japo najua maombi yangu hayatasikilizwa na Mungu. Sababu ni moja tu wakati wewe unatibiwa tezidume USA na ujumbe mzito kitu ambacho kingefanyika pale mhimbili au hata Temeke hosp sisi tunakufa kwa kukosa panadol. Nakuombea uzidiwe kwa sababu wewe ndiye uliasisi IPTL ukiwa waziri wa nishati na ndie unailinda mpaka leo. Wewe ndie chanzo cha matatizo yote kwakuendekeza urafiki na kutowajibika kwa watendaji. Wewe ni chanzo maana umeteua wezi wenzako ili msaidiane kulitafuna taifa mwisho wa siku mkaishi pepo ya duniani wakati mimi na wenzangu tunaogelea kwenye shida. Nina grievance nyingi sana kukuhusu ila niishie hapa kwa leo. I real hate you Mr Presida
 
Chabruma sii ndiyo yule alimpiga mzee Warioba, laana itamtafuna....jina lake halisi ni Daudi Albert na siyo Paul Makonda.....alifoji jina baada ya kufeli so akachukua jina la marehemu

Laana ya mizimu itamtafuna.....Laana ya Warioba inamtafuta huyu Makonda
 
Chabruma ni Makonda. Lakini katika wanaokuombea mimi nisiwe mnafiki ninaomba uzidiwe japo najua maombi yangu hayatasikilizwa na Mungu. Sababu ni moja tu wakati wewe unatibiwa tezidume USA na ujumbe mzito kitu ambacho kingefanyika pale mhimbili au hata Temeke hosp sisi tunakufa kwa kukosa panadol. Nakuombea uzidiwe kwa sababu wewe ndiye uliasisi IPTL ukiwa waziri wa nishati na ndie unailinda mpaka leo. Wewe ndie chanzo cha matatizo yote kwakuendekeza urafiki na kutowajibika kwa watendaji. Wewe ni chanzo maana umeteua wezi wenzako ili msaidiane kulitafuna taifa mwisho wa siku mkaishi pepo ya duniani wakati mimi na wenzangu tunaogelea kwenye shida. Nina grievance nyingi sana kukuhusu ila niishie hapa kwa leo. I real hate you Mr Presida

Mkuu maneno yako yanachoma ile mbaya, big up broooooo......
 
Hivi si nimesikia rais Obama katoa vibali kwa wote walioko Marekani na wangependa kubakia huko, inawahusu wote au!?
 
Baba while you are away , kimenuka mbaya usirudi kabisaaa
 
Kweli kuishabikia ccm kunahitaji ulipue fuse chache.

Kumbe zile ni hela 'zake'?
Tatizo katika barua hii umechanganya na utumbo . Watanzania siyo wajinga ukiwaambia eti Makonda alimpiga mzee Warioba wakati picha n'a Yeye mwenyewe hajasema Kama kapigwa. Mtu akigawa pesa zake kuna ubaya gani. Mbona wewe ukigawia michwpuko yako husemi.
 
Baba while you are away, Leo waziri mkuu wako anaondoka kwa ufisadi wa ESCROW
 
Baba while you are away, Leo waziri mkuu wako anaondoka kwa ufisadi wa ESCROW
Baba Rugemalila jana aliita wachungaji nyumbani kwake ili waweze kumuombea kikombe hiki kipite mbali kwake, ila Baba it is too late baba
 
naomba mwenye picha yake aweke hapa JF

ImageUploadedByJamiiForums1416809919.479028.jpg
 
Back
Top Bottom