Lazaro Nyalandu, ndiyo mume mpendwa wa Aunt Ezekielni yupi wassira au
Mara zote ocampo akija anakuja na vitu adimu........kwa kweli natamani sana kumjua huyu jamaa ni nani?........ Baba while you are away mauhaji makubwa yametokea kitetoOcampo umetisha sana
jamani acheni utani Nyalandu amemwoa mwanamke anaitwa Faraja NyalanduLazaro Nyalandu, ndiyo mume mpendwa wa Aunt Ezekiel
Umetaja hilo jina la Wassira mpaka nikasikia kichefuchefu mkuu, siku nyingine naomba usinuimize tena kwa kutaja hilo jinani yupi wassira au
naomba mwenye picha yake aweke hapa JFUmetaja hilo jina la Wassira mpaka nikasikia kichefuchefu mkuu, siku nyingine naomba usinuimize tena kwa kutaja hilo jina
Unaongea kama mke wa Ayubu ambaye alimwambia kuwa unaongea kama mwanamke mpumbavu, hizo fedha anazogawa Rugemalila siyo za umma au umejitoa akili........unabisha Makonda hakumpiga Warioba wakati Warioba na Butiku wanasema wazi wazi kuhusu hilo.......Tatizo katika barua hii umechanganya na utumbo . Watanzania siyo wajinga ukiwaambia eti Makonda alimpiga mzee Warioba wakati picha n'a Yeye mwenyewe hajasema Kama kapigwa. Mtu akigawa pesa zake kuna ubaya gani. Mbona wewe ukigawia michwpuko yako husemi.
Tafadhalini sana msiweke picha ya Wassira humu, wengine tunaandika huku watoto wako pembeni, they wont sleep tonightnaomba mwenye picha yake aweke hapa JF
Kumbe Aunt Ezekiel ndiyo ileeeeee tayari kitu.....mtoto ataitwa Lion (jina la mnyama) manake baba yake sii ni waziri wa maliasili basi lazima tumpe jina la kimaliasili....
UMEJITAHIDI Yote hayo jk anajua mwanzo, mwisho! Aksante kwa kumkumbusha!Leo Ocampo four naomba nikuandikie barua Baba yetu Jakaya Mrisho Kikwete.......Kwanza kabisa pole sana na ugua pole.......Baba yetu Kikwete, naomba nikupe taarifa/ripoti katika kipindi hiki unapoendelea na matibabu
Baba While you are away, serikali yako inaelekea kuanguka
Baba while you are away, mzimu wa ESCROW umeibuka
Baba while you are away, waziri mkuu wako kafumbia macho swala la ESCROW
Baba while you are away, Waziri mkuu wako kazomewa na wabunge wote
Baba while you are away, waziri mkuu wako kaungana na mahakama kunyima uhuru bunge letu tukufu
Baba while you are away, Rugamalila anagawa fedha kama njugu
Baba while you are away, Diallo kapewa fedha za ESCROW na kununua helcopter kwa ajili ya kumpigia Membe kampeni
Baba while you are away, tender ya kuingiza sukari PM kampa Janeth Masaburi bila kufata utaratibu
Baba huyo Janeth ndiyo mke wa kampeni meneja wa Pinda, bwana Didas Masaburi
Baba while you are away, Makonda alimpiga mzee Warioba na juzi juzi tena alimpiga mjumbe wa UVCCM Dodoma
Baba while you are away, fedha ambazo alipewa waziri wako kutoka Libya zimeanza kumtokea puani
Baba while you are away Werema, Maswi, Muhongo, Membe, Ndulu na Tibaijuka hutawakuta madarakani
Baba while you are away, fedha za ESCROW zilimwagwa Maisha Club na vibaraka wa PM e.g Mbogo, Hapi na Sara Msafiri
Baba while you are away, baraza la UVCCM lilimkataa Pinda kuwa Naibu Kamanda
Baba while you are away, kuna watu wameacha biashara ya nyuki na kuingia katika kupiga dili za mjini
Baba while you are away, waziri wako kapokea billion moja kutoka kwa rafiki, ni bahati ilioje baba
Baba while you are away, magazeti ya ulaya wamegundua ya kwamba makazi ya wamasai limeuzwa kwa mwarabu na mhusika mkubwa ni waziri wako wa Maliasili bwana Nyalandu
Baba while you are away, imegundulika tena waziri wako Membe ndiye anayetoa siri za baraza la mawaziri, na ndiye aliyekuwa anatoa siri na kuwapa wapinzani, je uaminivu wa kiapo chake kiko wapi?
Baba while you are away, yule msanii aliyeenda Marekani na waziri wako imegundulika ana ujauzito wa miezi 2
Baba while you are away, wahisani inasemekana wametishia kukata misaada
Na mwisho.................................
Baba while you were away TWAWEZA wametoa utafiti uliowapa matumaini makubwa wananchi
Mwisho kabisa, Baba nikupe taarifa tu kwamba watanzania wote tuko na wewe katika maombi ili uweze kupona haraka baba na kurudi nchini.......
Asante Baba kwa kunisikiliza
Ocampo four....
Wasira masaa 24 yuko JF........moyoni najua anafurahia hili swala la ESCROWTafadhalini sana msiweke picha ya Wassira humu, wengine tunaandika huku watoto wako pembeni, they wont sleep tonight
Tatizo katika barua hii umechanganya na utumbo . Watanzania siyo wajinga ukiwaambia eti Makonda alimpiga mzee Warioba wakati picha n'a Yeye mwenyewe hajasema Kama kapigwa. Mtu akigawa pesa zake kuna ubaya gani. Mbona wewe ukigawia michwpuko yako husemi.
Hhahahahahahah Mkuu nakuunga mkono tumuite Tarangire, manake ni wa kiume kama vipimo vilivyoonyesha.....Tumwite mtoto Tarangire au Selous ambako kuna Tembo wengi kwavile mshua anapiga dili za uPocha hadi Leo
Mkuu hao wakina SAIZI YANGU ndiyo watakuwa wamelamba fedha za ESCROW, umemuuliza maswali ya msingi sana sana.....na bila shaka ni ID ya Rugemalilausijitoe ufahamu, mwambie Rugemalila aonyeshe kiasi cha capital gain tax aliyolipa TRA badala ya kulipa kodi kagawa kwa marafiki na maaskofu.
Mpaka sakata la ESCROW liishe, ndiyo atatia mguuhivi huyo msanii anarudi lini?
twende mapumziko sasa