Barua Kwa Jakaya Kikwete

Barua Kwa Jakaya Kikwete

Ilikuwa poa kasoro kwenye utafiti wa TWAWEZA hapo ndio umebugi kidogo
 
Baba while you are away,jiulize kwann nchi uliyopo kuna miundo mbinu bora kuliko nyumbani kwako
 
ukiona chama kinakumbatia mijitu mifisadi kama chenge ujue kwamba chama hicho kimekufa, kimeoza na kinatoa uvundo! ee Mungu tusaidia kuuzika mzoga (CCM) huu wanao tunaumizwa na harufu mbaya ya uvundo (UFISADI) wa CCM.
 
Midoli hiyo namaanisha kwamba mkuu waweza kumpigia cm kumueleza jambo yeye akaitikia tu as if ata take action kumbe anaweka kapuni
 
Back
Top Bottom