Ni sahihi kwa Mawaziri kuwajibika kwa karibu Mwenezi wa chama? Mfumo wa mawasiliano ndani ya chama cha Mapinduzi upoje?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Waziri ni mtendaji mkuu wa wizara kisiasa, anateuliwa na Mhe. Rais na anawajibika kusimamia masuala ya kisera ya wizara.

Leo wameelekezwa kuripoti kwa Karibu mkuu wa chama , je haya maelekezo ni halali? Wanaripoti nini wakati wao ni wajumbe wa baraza la mawaziri ambalo Mwenyekiti ni Mh. Rais ? Je, katibu mwenyezi ndiye anapaswa kupima utendaji wa mawaziri? Muundo wa uwajibikaji upoje kwenye chama?
 
Waziri ni mtendaji mkuu wa wizara kisiasa, anateuliwa na Mhe. Rais na anawajibika kusimamia masuala ya kisera ya wizara.

Leo wameelekezwa kuripoti kwa Karibu mkuu wa chama , je haya maelekezo ni halali? Wanaripoti nini wakati wao ni wajumbe wa baraza la mawaziri ambalo Mwenyekiti ni Mh. Rais ? Je, katibu mwenyezi ndiye anapaswa kupima utendaji wa mawaziri? Muundo wa uwajibikaji upoje kwenye chama?
Acha kupotosha amesema wanapokuwa ziarani Mikoani ni lazima waripoti pia kwenye ofisi za chama Ili chama kijue wamekuja kufanya nini.
Waziri anatekeleza sera za serikali ya CCM!!
 
Waziri ni mtendaji mkuu wa wizara kisiasa, anateuliwa na Mhe. Rais na anawajibika kusimamia masuala ya kisera ya wizara.

Leo wameelekezwa kuripoti kwa Karibu mkuu wa chama , je haya maelekezo ni halali? Wanaripoti nini wakati wao ni wajumbe wa baraza la mawaziri ambalo Mwenyekiti ni Mh. Rais ? Je, katibu mwenyezi ndiye anapaswa kupima utendaji wa mawaziri? Muundo wa uwajibikaji upoje kwenye chama?
Mkuu unasahau Serikali Iko chini ya chama?
Unasahau hata Rais ni mwenyekiti wa Chama?
Serikali yote inawajibika kwa chama tawala!
Unajua kuwa hata Rais akienda kinyume anawajibishwa na chama?
Kwa leo fikiri hayo kwanza
 
Waziri ni mtendaji mkuu wa wizara kisiasa, anateuliwa na Mhe. Rais na anawajibika kusimamia masuala ya kisera ya wizara.

Leo wameelekezwa kuripoti kwa Karibu mkuu wa chama , je haya maelekezo ni halali? Wanaripoti nini wakati wao ni wajumbe wa baraza la mawaziri ambalo Mwenyekiti ni Mh. Rais ? Je, katibu mwenyezi ndiye anapaswa kupima utendaji wa mawaziri? Muundo wa uwajibikaji upoje kwenye chama?

Waziri anawajibika kwa alie mteua na si political figure ndani ya chama

Huyu ameongea kisiasa lakin we all no halito tekelezeka
 
Acha kupotosha amesema wanapokuwa ziarani Mikoani ni lazima waripoti pia kwenye ofisi za chama Ili chama kijue wamekuja kufanya nini.
Waziri anatekeleza sera za serikali ya CCM!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app

Kwani wanafanya kazi ya chama au serikali?. Huu ujinga wa CCM kumiliki serikali ndio hatuhutaki. Ni Kama siku ile wanalazimisha polisi aseme CCM hoyee, alivyokataa wakasema watamchukulia hatua. Nilionà aibu kwa kweli
 
Mkuu unasahau Serikali Iko chini ya chama?
Unasahau hata Rais ni mwenyekiti wa Chama?
Serikali yote inawajibika kwa chama tawala!
Unajua kuwa hata Rais akienda kinyume anawajibishwa na chama?
Kwa leo fikiri hayo kwanza

Sio kweli. Rais anawajibika kwa wananchi waliomchagua. Huu ujinga wa CCM ndio unafanya watu waone chama ni kila kitu na kufanya serikali na mahakama kuwa chawa wa chama baadala ya kufanya kazi.
 
Sio kweli. Rais anawajibika kwa wananchi waliomchagua. Huu ujinga wa CCM ndio unafanya watu waone chama ni kila kitu na kufanya serikali na mahakama kuwa chawa wa chama baadala ya kufanya kazi.
Mkuu unajua kwamba Rais anaongozwa na mipango iliyo ndani ya Ilani ya Chama?
Unajua kwamba Kama chama kitamvua uanachama Rais ataacha mara moja kuwa Rais wa Nchi?

Rais anawajibu wakuwatumikia Wananchi wake lakini na yeye anawajibika kwa chama chake kilicho madarakani!
Na ndo maana serikali yote Ina mawaziri , Na watumishi wa kisiasa wenye chama Tawala...
 
Kwani wanafanya kazi ya chama au serikali?. Huu ujinga wa CCM kumiliki serikali ndio hatuhutaki. Ni Kama siku ile wanalazimisha polisi aseme CCM hoyee, alivyokataa wakasema watamchukulia hatua. Nilionà aibu kwa kweli
Chama kitakachoshinda Uchaguzi mkuu, ndio kitaunda serikali.....
Nadhani uliwahi kutana na statement kama hii.
 
Ningekuwa waziri nisingeripot kwake
Ndomana naenda kwenye mashirika makubwa
Huu ujinga wa kusimamiwa na kilaza kwangu haukubaliki👌
 
Wanakwenda kuvurugana vibaya sana kwa style ya ufanyaji kazi wa huyu mwamba, kuna siku tegemea Katibu Mkuu wa Wizara naye atamamishwa mbele ya mkutano wa hadhara kujielezea. :D
 
Chama kitakachoshinda Uchaguzi mkuu, ndio kitaunda serikali.....
Nadhani uliwahi kutana na statement kama hii.
Upo sahihi, na Serikali hiyo itatumia ilani ya uchaguzi kuongoza. Kama kuna mapungufu basi CCM ita yaainisha na yatapelewa Serikalini kwa formal way, siyo mtu kubwabwaja kwenye mkutano wa hadhara.
 
Back
Top Bottom