The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,445
Full mandate kutoka kwenye chamaKama alikuwa anajua ana watendaji wabovu kwenye serikali yake, siku zote alikuwa anasubiri nini kuwaondoa?
Au ndio alikuwa anasubiri huo mkutano wao wa NEC akatangazie huko?
She is not serious.