Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri

Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Kwani watoto pendwa nao wataenda kwa sangoma?
 
Watendaji anaowaona wabovu hana uwezo wa kuwatumbua maana wanaripoti kwa aliyewatuma kwake wateuliwe!

We can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when a men are afraid of the light." -Plato.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom