Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Angeuza umeme tokA chanzo kipi?, Bahati ni kuwa, miaka 5 ya jpm, mvua zilinyesha mno, hapakua na ukame,, kihansi ilikuwa na maji full time
Ndio hoja fake mliyokomaa kwamba kipindi cha Magufuli chote ndio mvua zilikuwa zinanyesha,ila kipindi chenu mvua hakuna. Hata matozo yote mliyokuja nayo baada ya Magu. Yeye alikuwa hayaoni. Kuongeza gharama za kuingiza umeme alichoweka Magu elfu 27,na nyie kupeleka mpaka laki 320+ sababu ni mvua. Mna bahati tu mnaongoza maiti. Kenya hayawezi kutokea ujinga kama huu mnaowafanyia wananchi.
Hamuwezi kuona athari za hizi tozo,ksbb mna hela nyie,hata huwezi kumfikiria mama mkulima huko kijijini. Kukatwa kwa umeme masaa 15 mpaka 20 kwa siku nyie hamuzi kuona maumivu yake,ksbb tayari kipato cha kifisadi kipo
 
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la Mawaziri

Kwa mjibu wa Samia kuna watendaji ni wabovu ndani ya Serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Habahaha
Sangoma ndo wanaoamua hatima ya ncgi.

Maendeleo mtayaona kwa jirani tu
 
Maendeleo yapi?, Jpm miradi yake mikubwa, amefariki bado ikiea kwenye initial stage,, na sasa mingi inaelekea kuishi,, au jpm aliacha pesa za kumalizia miradi?, Au anatumaga hela kutoka mbinguni?,
Nchi inaendelea kwa kulipa kodi, tozo ikiwemo

Maendeleo yapi?, Jpm miradi yake mikubwa, amefariki bado ikiea kwenye initial stage,, na sasa mingi inaelekea kuishi,, au jpm aliacha pesa za kumalizia miradi?, Au anatumaga hela kutoka mbinguni?,
Nchi inaendelea kwa kulipa kodi, tozo ikiwemo
Mnajifanya hamuyaoni maendeleo ya Magu?. Dar kaipendezesha. Katengeneza fry over. Hata kama mtazibeza,zimepunguza foleni. Kuanzia pale ubungo katanua barabara,Hakuna tena foleni kama kipindi chenu.
Kipindi chake ona barabara nchi nzima zilikuwa zinaendelea kujengwa. Stand za kisasa. Majengo ya serikali kama mipakani huko.
Yote hayo aliyafanya kwa kipindi cha muda mfupi.
Nyie mmeanzisha makodi mengi na tozo kibao,mzigo kwa wananchi,lakini,hizo tozo zinapigwa tu na akina miguru. Hakuna mnachofanya. Mnazurula tu.
 
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la Mawaziri

Kwa mjibu wa Samia kuna watendaji ni wabovu ndani ya Serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Rais Samia Suluhu anataka watenda kazi wataompeleka kwenye maendeleo na sio kumludisha nyuma
 
Mnajifanya hamuyaoni maendeleo ya Magu?. Dar kaipendezesha. Katengeneza fry over. Hata kama mtazibeza,zimepunguza foleni. Kuanzia pale ubungo katanua barabara,Hakuna tena foleni kama kipindi chenu.
Kipindi chake ona barabara nchi nzima zilikuwa zinaendelea kujengwa. Stand za kisasa. Majengo ya serikali kama mipakani huko.
Yote hayo aliyafanya kwa kipindi cha muda mfupi.
Nyie mmeanzisha makodi mengi na tozo kibao,mzigo kwa wananchi,lakini,hizo tozo zinapigwa tu na akina miguru. Hakuna mnachofanya. Mnazurula tu.
Ni kweli magufuli aligfanya kazi kubwa kwa wakati wake na Rais Samia Suluhu anaendelea alipoishia na amefanya maendeleo mengi sana tena ndani ya siku chache tu za utawala wake kwaiyo acha tu tusema mama anaupiga mwingi
 
Ni kweli magufuli aligfanya kazi kubwa kwa wakati wake na Rais Samia Suluhu anaendelea alipoishia na amefanya maendeleo mengi sana tena ndani ya siku chache tu za utawala wake kwaiyo acha tu tusema mama anaupiga mwingi
Mimi nimeshayasema kwa uchache aliyoyafanya mwamba Magu. Yaseme pia alipoupiga mwingi
 
Mnajifanya hamuyaoni maendeleo ya Magu?. Dar kaipendezesha. Katengeneza fry over. Hata kama mtazibeza,zimepunguza foleni. Kuanzia pale ubungo katanua barabara,Hakuna tena foleni kama kipindi chenu.
Kipindi chake ona barabara nchi nzima zilikuwa zinaendelea kujengwa. Stand za kisasa. Majengo ya serikali kama mipakani huko.
Yote hayo aliyafanya kwa kipindi cha muda mfupi.
Nyie mmeanzisha makodi mengi na tozo kibao,mzigo kwa wananchi,lakini,hizo tozo zinapigwa tu na akina miguru. Hakuna mnachofanya. Mnazurula tu.
Yaani flyover ya mita 50 ndo big issue?, Subiri uone maendeleo 2025,, lami zimejengwa enzi za jk,,
 
Anajichelewesha mwenyewe tu, keshafanya mabadiliko zaidi ya mara mbili anaishia kugusagusa tu hapa na pale
Mpaka nikaanza kudhani kwamba huenda tatizo siyo mawaziri wake, huenda tatizo ni yeye
Rais anaogopa kuwagusa baadhi ya watu waliopo kwenye kundi analoamini linamlinda.

Na hao ndio waharibifu wakuu.

Tuvumilie tu wapite na awamu yao.
 
Yaani flyover ya mita 50 ndo big issue?, Subiri uone maendeleo 2025,, lami zimejengwa enzi za jk,,
Big Ishu!!!? Inakuja kuwa big Ishu pale hicho kitu kilichojengwa kinatatua tatizo. Mfano hiyo Mita 50 kama imepunguza kabisa foleni maeneo husika lazima kiwe kitu cha kupongezwa sana. Ukizingatia walikuwepo waliotangulia walikuwa wanakusanya kodi tu hawatatui matatizo kama hayo. Lakini mwamba Magu aliyamaliza kwa muda mfupi.
Kuhusu barabara kutoka hapo fry over ya ubungo mwamba kazitanua sana. Kuna stand stand mpya nyingi nchi nzima kajenga. Wewe unasema kajenga kikwete?. Wewe itakuwa haupo hapa nchini, uko nje ya nchi labda Malawi huko
 
Tatizo ni Katiba na mifumo ya nchi hii. Mawaziri wamekuwa wakibadilishwa kwa mbwembwe nyingi kila awamu tangu uhuru.
Anajichelewesha mwenyewe tu, keshafanya mabadiliko zaidi ya mara mbili anaishia kugusagusa tu hapa na pale
Mpaka nikaanza kudhani kwamba huenda tatizo siyo mawaziri wake, huenda tatizo ni yeye
 
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la Mawaziri

Kwa mjibu wa Samia kuna watendaji ni wabovu ndani ya Serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Hata akivunja atajaza waislamu wenzake ambao ni wavivu haswa kazi kubwa itabaki ni kumsifia pekee
 
Me naona amechelewa kuvunja BARAZA.

Vijana 5 wameshaota mapembe.

It's now a U-Turn, It can't work.
 
Back
Top Bottom