mazagazagatza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 209
- 223
Kwanini unaondoa option ya kuvunjwa?Sio kuvunjwa, labda kufanyiwa manadiliko, kuvunjwa ni endapo wazlri mkuu atapumzishwa!.
P
Inawezekana Raisi akavunja kabisa Baraza la mawaziri ili aanze upya. Kama atafanya hivyo atakuwa amefanya jambo sahihi.