Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Kwanini unaondoa option ya kuvunjwa?

Inawezekana Raisi akavunja kabisa Baraza la mawaziri ili aanze upya. Kama atafanya hivyo atakuwa amefanya jambo sahihi.

Upya upi wa majina au? Hao waliopo ndo picha ya Sisi watanzania. Waziri ni nani hasa wa kuleta serious changes Kama wakuu wa nchi na hasa watendaji mf. Makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara hawaondokani na „ our system „. Waziri atakuwa anapiga kelele na we utatumwa kuja kuandika hapa kumdhohofisha.
 
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri

Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Niliandika tetesi hii wakafutavna mm sirudii ule Uzi ungewafunbua macho.
 
Avunje tu Baraza la Mawaziri, PM atoke tu maana sioni anachofanya na makamu wake. Pili Simbachawene na wenzie wenye kubweteka kama yeye watolewe
 
Upya upi wa majina au? Hao waliopo ndo picha ya Sisi watanzania. Waziri ni nani hasa wa kuleta serious changes Kama wakuu wa nchi na hasa watendaji mf. Makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara hawaondokani na „ our system „. Waziri atakuwa anapiga kelele na we utatumwa kuja kuandika hapa kumdhohofisha.
Tunasubiri majina kutoka mbinguni, au labda wazungu warudi kututawala. Maana hata wakiondolewa hao watateuliwa watanzania wengine na sisi tutaendelea kupiga kelele.
 
Nachokuona mjinga na imeshikiliwa akili Ni Mambo yafuatayo

1.Waziri ndio ameleta ukame?

2.Pili Hakuna mda umeme uliwahi kuacha kukatika Nchi hii Hakuna,na sababu ziko wazi Ni za kitaalamu sio swala la Waziri.Tanesco wanasema wanahitaji Til.4 kubadili njia zote za usambazaji nk ili kuzuia kukatika katika.

3.Usikariri sio kila Mkoa Kuna mgao au shida ya umeme,mikoa ya Songwe,Rukwa,Katavi,Kagera na Kigoma,Mtwara Wala hakuna kukatika katika hovyo kwa umeme kwa sababu tunatumia umeme wa Nchi Jirani na ule wa kuzalishwa ndani ya Mkoa sionwa grid ya Taifa.
Kweli ukiwa unakula hutakiwi kuongea.

Unaongea kuhusu hiyo Mikoa utasema Tanzania ni kisiwa, aliyekupa hizo taarifa mwambie arejee Tena Site. Hiyo Mikoa bado ina mgao Chief, wengine tumewekeza hiyo Mikoa na kufanya vibiashara vyetu huko.

Anyways, ngoja tusubirie Ukame uishe ili huo Mgao uishe na sisi tuache kutumia haya majenereta yetu
 
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri

Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!


Hatafika popote na hawa walamba asali
 
Hivi mkuu mfano Rais anaweza kumtumbua waziri mkuu na akavunja ubunge uchaguzi wa wabunge ukaitishwa upya?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu Jaap, kuna teuzi za aina mbili, aina ya kwanza ni teuzi at presidents pleasure, yaani rais anamteua fulani anapojisikia kwa raha zake, bila kutoa sababu yoyote kwanini fulani, hizi teuzi za at the pleasure of the president, kama waziri mkuu, mawaziri, wenyeviti wa bodi, wakuu wa mikoa, ma RAS, DED na ma DC, rais anaweza kumteua yeyote na kumtumbua yeyote kwa kadri anavyojisikia, hivyo rais anaweza kutumbua PM for a reason or without anye reason, na hapaswi kuulizwa na yeyote. PM akitumbuliwa cabinet inakuwa imevunjwa. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Kwa mujibu wa katiba yetu, rais wa JMT ni sehemu ya Bunge, ndiye huliunda na kulivunja, hivyo katiba imeelekeza ni mazingira gani rais anaweza kulivunja bunge na ukaitishwa uchaguzi mkuu wa wabunge tuu yeye akiendelea.

Tuezi za pili za rais ni teuzi za merritts, yaani kuna nafasi ambazo rais anaelekezwa na katiba kuteua watendaji wenye sifa fulani kwenye vyombo huru, hawa rais ana uwezo wa kuwateua tuu lakini hana uwezo wa kuwatumbua, hawa ni Jaji Mkuu na majaji, CAG, Gavana wa BOT, Wenyeviti wa NEC, Tume ya Maadili, Msajili wa Vyama. Viongozi wengine wa kiutendaji kama wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na wakurugenzi wakuu wa taasisi za umma, wanateuliwa kwa merrits na sio kwa presidents pleasure, akitaka kuwaondoa, there must be reasons.

Hii ya rais kuteua mawaziri at presidents pleasure na kutumbua at the please, is becoming unbecoming, ndio maana nimeshauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
 
Huyo Bibi Tozo hana MAAJABU yoyote.

Hata akibadili BARAZA mara 200 litabaki vile vile, Kwasababu Watoto wa VIGOGO wanaovuruga HAWEZI kuwatoa.

Kwahiyo MAKAMBA, NAPE, MWIGULU, RIDHIWANI, MCHENGERWA wataendelea KUWEPO.
Kama kawaida
 
Nilisema hapa na uzi wangu ukatolewa any away Asilimia 40 wanatemwa Alafu mtoto pendwa wa mama WASUMBUFU tafsiri yake Kwa lugha kiswahili
Usishangae anachukua nafasi nyeti zaidi Bwana WASUMBUFU Au HAWATULII

Britanicca
Ndo yupi huyo msumbufu?
 
Back
Top Bottom