sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Nasikiliza Clouds sasa hivi kwamba Baraza La Mawaziri huenda likatajwa muda wowote leo hii na baadhi ya wanaotajwa katika sura mpya ni David Mwakyusa, Anne Kilango, Jenista Mhagama, Pindi Chana, Abdallah Kigoda, na Dalali Kafumu
My Take: staili ya JK si kama ya Nkapa, maana hata tetesi za kuvunjwa kwa Baraza zilishauwa hewani.. ngoja 2one
Mkuu tendea haki uanachama wako hapa JF.. Hcho kipindi hata mimi nakisikiliza, hakuna aliyewataja hao.. Au we umesikia wapi? Au umesikiliza redio kwa sekunde kadhaa na kusikia hayo majina basi ukadhani ndio wanaotajwa tajwa.. Be smart mkuu sikiliza kwa makini ndo ulete uzi.. Usikurupuke!
Si kila wakati tuanzishe thread kama hatuna sensitive and proven issues especialy wen we post abt current poltcal situation in tz.. We better organize ourselves first, otherwise let's fall into cht chat forum.