Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Nasikiliza Clouds sasa hivi kwamba Baraza La Mawaziri huenda likatajwa muda wowote leo hii na baadhi ya wanaotajwa katika sura mpya ni David Mwakyusa, Anne Kilango, Jenista Mhagama, Pindi Chana, Abdallah Kigoda, na Dalali Kafumu
My Take: staili ya JK si kama ya Mkapa, maana hata tetesi za kuvunjwa kwa Baraza zilishauwa hewani.. ngoja 2one
My Take: staili ya JK si kama ya Mkapa, maana hata tetesi za kuvunjwa kwa Baraza zilishauwa hewani.. ngoja 2one