Baraza la Mawaziri Kutangazwa Leo...Tetesi za Wanaotajwa Sura Mpya...

Mkuu nashauri Rais wetu kwenye baraza Jipya la mawaziri wa wawemo watu kutoka vyama vya upinzani:-
  • Waziri Mkuu Mh Zito Kabwe
  • Waziri wa fedha Mh John Cheyo
  • Waziri wa ujenzi Mh Mdee
  • Waziri wa sheria na katiba Mh Tundu Lissu
  • Waziri wa mambo ya ndani Mh Ana Makinda (Spika)
  • Waziri wa mambo ya nje Mh Vicent Nyerere
  • Waziri wa Afrika Mashariki Mh Hamad Rashid
Namtakia kazi njema Rais wetu.
 
Kigoda , Meghji ndo walichangia sana kuifikisha nchi hapa ilipo kwenye dimbwi la umasikini. Leo hii anawarudisha????!!!!
 
wenzetu mna moyo kweli; wanaondolewa wana CCM wanarudishwa wana CCM, sera zile zile, chama kile kile, ilani ile ile, watu wale wale! Kama Kigoda akirudishwa si alishakuwemo humo? I'm really indifferent kwa vyovyote watakavyofanya!

= watanzania kwa kuwa wanapenda sana kuombea mabaya wenzao..siku zote huwa wanaona watu ndiyo tatizo na siyo mazingira ya watu waliopo madarakani.


= Watamwaga mawaziri hapa,watu watafurahi,wataingia wapya na sera zile zile na Rais yule yule..madudu yale yale..TAKUKURU ile ile ambayo inasimamia watu wale wale..


=Najua mawaziri watakuwapo wapya ila ni wachache sana..tutegeme reshuflle tu coz suala lenyewe limekuja ghafla na Mkulu atakuwa anahofia kuweka watu wa EL tu...so ts an easy job..swap minister bring new who can work for him
 
Siku zote tunasema CCM wasafi ni wachache ambao hawatoshelezi kuunda balaza la Mawaziri lenye uadilifu hivyo tutegemee baadhi ya Wizara kuwa na Ubadhilifu kama hao waliopita isitoshe mtu kama KAFUMU alishafanya madudu akiwa Kamishna akipewa uwaziri au unaibu Watz tumekwisha, ufumbuzi wa yote ni kupiga chini Mkuu wa kaya uchaguzi ufanyike ili CDM iingie madarakani
 
Katika hilo hakuna jipya mimi nashauri kuwa wizara wapewe wafuatao.
Magufuli waziri mkuu,Mwanri tamisemi abaki,Mwakyembe miundo mbinu,makamba madini,filikunjombe utalii,Dr kigwangala afya.Nakomea hapa jazen na nyie
 
KWa mtazamo wangu CCM imeishiwa waadirifu siku nyingi ni kuziba viraka kwa kutumia kiraka kingine tena kibovu.....ingekuwa hivi ningekuwa na imani na serikali

1.W/mkuu........................Magufuri
2.Fedha/uchumi ................Zitto
3.Sheria na katiba..............Lissu
4.Ardhi... .........................Mdee
5.Ujenzi............................Mwakyembe
6.nje................................membe
7.ulinzi..............................Mbowe
8.H/michezo.......................Sugu
9.maliasili/Utalii...................Lembeli
10.Afya/ustawi wa jamii.......Mwakyusa( Japo simwamini sana)
11.Tamisemi.......................Mnyika
12.Elimu............................Mwesingwa Baregu, naibu Exavel Rwaitama

Kifulambute Raisi hawezi kubadisha waziri mkuu kwa kuwa hakuna kikao cha Bunge kinachoendelea cha kumpitisha. Kama hayo mabadiliko yatasubiri 12/6/2012 vingievyo bado atakuwa na baraza la mawaziri legelege. Vile vile swala la kuwahumuisha wabunge wa upinzani liko nje ya uwezo wa raisi, lazima chama chake kikubali, chama cha upinzani nacho kikubali vile vile pawezo na mswaada wa marekebisho ya sheria ili kuruhusu serikali ya kitaifa.
 
Huyo kigoda sitaki hata kumsikia wakimrudishe tena kweli tutajua ccm wameishiwa watu.Alipiga pesa sana enzi za ubinafsishaji enzi za mkapa na ndo alikuwa postermaster wake kumpelekea pesa mzee tena leo wamrudishe.
 
Clouds fm has never been reliable source.
Hata mimi nilikuwa nasikiliza, mara Sugu waziri wa Michezo, mara Mwakyembe waziri wa Fedha, mara Malima Waziri kamili wa Nishati, yaani ni udaku mtupu.
Wao wanasoma gazeti la uhuru kama source ya kutengeneza umbea
 
We kweli Ifunya.
Mkuu hiyo haitatokea kwa kikwete anayefanya maamuzi kwa maelekezo ya waganga wa kienyeji
Mkuu nashauri Rais wetu kwenye baraza Jipya la mawaziri wa wawemo watu kutoka vyama vya upinzani:-
  • Waziri Mkuu Mh Zito Kabwe
  • Waziri wa fedha Mh John Cheyo
  • Waziri wa ujenzi Mh Mdee
  • Waziri wa sheria na katiba Mh Tundu Lissu
  • Waziri wa mambo ya ndani Mh Ana Makinda (Spika)
  • Waziri wa mambo ya nje Mh Vicent Nyerere
  • Waziri wa Afrika Mashariki Mh Hamad Rashid
Namtakia kazi njema Rais wetu.
 
Hamna jipya bora wakope Chadema ata wabunge watano tu wa kumalizia msimu
 
Nothing new, anne kilango? kigoda?
JK anajua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Baada ya kumtoa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi mzee malecela, na kumnyima ubunge wa EALA William, itakuwa vema kumpa Mama Kilango japo unaibu waziri
 
Mkuu nashauri Rais wetu kwenye baraza Jipya la mawaziri wa wawemo watu kutoka vyama vya upinzani:-
  • Waziri Mkuu Mh Zito Kabwe
  • Waziri wa fedha Mh John Cheyo
  • Waziri wa ujenzi Mh Mdee
  • Waziri wa sheria na katiba Mh Tundu Lissu
  • Waziri wa mambo ya ndani Mh Ana Makinda (Spika)
  • Waziri wa mambo ya nje Mh Vicent Nyerere
  • Waziri wa Afrika Mashariki Mh Hamad Rashid
Namtakia kazi njema Rais wetu.

Acha kumdhalilisha spika! Uspika ni zaidi ya uwaziri mkuu sembuse uwaziri!
 
Fedha.....Mwigulu
Uchukuzi.....Mwakyembe
Nishati......Makamba, (Kafumu...Naibu); means Malima OUT!
Tawala za Mikoa....Mwanri
Biashara....Nyarandu (Mhagama....Naibu)
Zakhia Meghji....Utalii
Afya.....(To be adervitised)
Kilimo......Kilango

Hutaki, unaacha....kama ngumu kumeza, unashushia na kiroba!!

Huyo mama huyo enzi zake kwenye hiyo wizara madudu yaliyofanyika ni balaa
 
Back
Top Bottom