Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,772
- 218,394
Mzee wa fitna..!!Tunataka tusomewe mapato na matumizi
Sio lengo la mkutano! Hata mwenyekiti wenu alikuwa na mkutano Mwanza hivi karibuni hajasoma mapato na matumiziTunataka tusomewe mapato na matumizi
Tunataka tusomewe mapato na matumizi
Sio lengo la mkutano! Hata mwenyekiti wenu alikuwa na mkutano Mwanza hivi karibuni hajasoma mapato na matumizi
Unataka haki itendeke CDM??Haki itendeke
Vijana wa Mbowe wasije wakanajisi boksi la kura
Mzee wa fitna..!!
Tunataka tusomewe mapato na matumizi
Mbwembwe tu mnaziweza......ila Ikulu sahauni!View attachment 1295091
View attachment 1295084
View attachment 1295092
View attachment 1295094
Akifungua Mkutano wa Baraza hilo leo tarehe 17 / 12/2019 Mh Mbowe amesema , njama za Awamu ya 5 za kuua Chadema zimesababisha mfumuko wa wanachama na viongozi wapya nchi nzima , jambo lililopelekea chama kuimarika zaidi
Labda kama ikulu hiyo ni ya mama yako.Mbwembwe tu mnaziweza......ila Ikulu sahauni!
Huna hoja wewe kapukuMbwembwe tu mnaziweza......ila Ikulu sahauni!
Hahahaaa........ Kujipodoa mnaweza kwa kweli ila Ikulu mtapasikia tu bwashee wa kishumundu!Labda kama ikulu hiyo ni ya mama yako.
Tunataka tusomewe mapato na matumizi
Wewe kama nani?Tunataka tusomewe mapato na matumizi