Baraza Kuu la CHADEMA lakutana Mlimani City

Chama cha Demokrasia na Maendeleo ndio Matumaini yetu Watanzania
Tukiunge mkono kwa hali na mali tuwe tayari kujitoa muhanga
Siasa ni mchezo mchafu kweli.
Nakumbuka nilipoteza hadi kibarua kwa kuwa kibarua kwa wanasiasa mwaka 2015.
Mzee wa monduli alisepa na kijiji sitokaa nisahau.

Pili vyama vya upinzani vinatuumiza sisi watu wao
Nakumbuka, kabla mzee wa monduli kuhamia chadema alisemwa sana kuwa sio mwanidifu na fisadi lakini viongozi hao hao walimpokea na kumkaribisha chumbani,,,Hiki kitendo kiliniumiza sana maana ng'ombe zinagombana sisi nyasi ndio tunaumia.

tokea hapo ndipo nilijiona mkiwa kwenye chama changu nilichokuwa nakiamini more than 100%.
Leo hii mzee karudi nyumbani hata bila kujali maumivu waliyopata watu wakihangaika kisa yeye.

Kwa mwenye akili timamu atakuwa amenielewa.

kama UKAWA walishindwa kuchukua dola 2015 kipindi ambacho lumumba fc walikuwa na migogoro ya ndani wao kwa wao na mvunjiko mkubwa Sioni ukombozi tena labda vyama vyote vifutwe kibaki CHADWAZECUF tu.

Vijana tujiepushe kuwa vibaraka wa wanasiasa. Maisha yako hayabadilishwi na mwanasiasa bali hubadilishwa na juhudi yako mwenyewe na kufanya kazi kwa nguvu.

Kwenye siasa wanaoumia ni watu wa chini (wafuasi) lakini viongozi wa juu hawaexperiences maumivu tuyapatayo ndiyo maana wanatuyumbisha kama bendera fuata upepo, kaka zangu na ndevu zao huwa kama watoto aisee siasa ameloga akili za vijana wengi walai nawaambieni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni mtazamo wako
Siasa ni mchezo mchafu kweli.
Nakumbuka nilipoteza hadi kibarua kwa kuwa kibarua kwa wanasiasa mwaka 2015.
Mzee wa monduli alisepa na kijiji sitokaa nisahau.

Pili vyama vya upinzani vinatuumiza sisi watu wao
Nakumbuka, kabla mzee wa monduli kuhamia chadema alisemwa sana kuwa sio mwanidifu na fisadi lakini viongozi hao hao walimpokea na kumkaribisha chumbani,,,Hiki kitendo kiliniumiza sana maana ng'ombe zinagombana sisi nyasi ndio tunaumia.

tokea hapo ndipo nilijiona mkiwa kwenye chama changu nilichokuwa nakiamini more than 100%.
Leo hii mzee karudi nyumbani hata bila kujali maumivu waliyopata watu wakihangaika kisa yeye.

Kwa mwenye akili timamu atakuwa amenielewa.

kama UKAWA walishindwa kuchukua dola 2015 kipindi ambacho lumumba fc walikuwa na migogoro ya ndani wao kwa wao na mvunjiko mkubwa Sioni ukombozi tena labda vyama vyote vifutwe kibaki CHADWAZECUF tu.

Vijana tujiepushe kuwa vibaraka wa wanasiasa. Maisha yako hayabadilishwi na mwanasiasa bali hubadilishwa na juhudi yako mwenyewe na kufanya kazi kwa nguvu.

Kwenye siasa wanaoumia ni watu wa chini (wafuasi) lakini viongozi wa juu hawaexperiences maumivu tuyapatayo ndiyo maana wanatuyumbisha kama bendera fuata upepo, kaka zangu na ndevu zao huwa kama watoto aisee siasa ameloga akili za vijana wengi walai nawaambieni.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa ni mchezo mchafu kweli.
Nakumbuka nilipoteza hadi kibarua kwa kuwa kibarua kwa wanasiasa mwaka 2015.
Mzee wa monduli alisepa na kijiji sitokaa nisahau.

Pili vyama vya upinzani vinatuumiza sisi watu wao
Nakumbuka, kabla mzee wa monduli kuhamia chadema alisemwa sana kuwa sio mwanidifu na fisadi lakini viongozi hao hao walimpokea na kumkaribisha chumbani,,,Hiki kitendo kiliniumiza sana maana ng'ombe zinagombana sisi nyasi ndio tunaumia.

tokea hapo ndipo nilijiona mkiwa kwenye chama changu nilichokuwa nakiamini more than 100%.
Leo hii mzee karudi nyumbani hata bila kujali maumivu waliyopata watu wakihangaika kisa yeye.

Kwa mwenye akili timamu atakuwa amenielewa.

kama UKAWA walishindwa kuchukua dola 2015 kipindi ambacho lumumba fc walikuwa na migogoro ya ndani wao kwa wao na mvunjiko mkubwa Sioni ukombozi tena labda vyama vyote vifutwe kibaki CHADWAZECUF tu.

Vijana tujiepushe kuwa vibaraka wa wanasiasa. Maisha yako hayabadilishwi na mwanasiasa bali hubadilishwa na juhudi yako mwenyewe na kufanya kazi kwa nguvu.

Kwenye siasa wanaoumia ni watu wa chini (wafuasi) lakini viongozi wa juu hawaexperiences maumivu tuyapatayo ndiyo maana wanatuyumbisha kama bendera fuata upepo, kaka zangu na ndevu zao huwa kama watoto aisee siasa ameloga akili za vijana wengi walai nawaambieni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kama Chadema tumeshajifunza kutokana na makosa yetu

Uchaguzi ujao tutamsimamisha mwanaChadema asilia kwenye nafasi ya Uraisi kukaa kimya na kukata tamaa ni dhambi kuu
Mimi ninachotaka ni kizazi changu kikute nchi ambayo haiongozwi na CCM tena
Huu umasikini na dhiki tumeletewa na CCM
 
Hizi picha zimewafanya MaCCM waagize POLIFISI wao WANG’OE bendera za CHADEMA.
Mwanza kumedoda huko, mpaka anajishebedua na kubana pua
”Urais mgumu” wapi.
CHADEMA ndio habari kwa sasa ✌🏾✌🏾✌🏾💪🏾💪🏾💪🏾
 
Hii ndio ile team mwaka 2015 iliyompatia usukani Mzee wa safari ya matumaini, Mzee yule akawatia mfukoni hawa wadwanzi wakawa wanamnadi kwenye majukwaa
 
Ukitazama hii picha je wote wana nia ya dhati!?
Hakuna hata sura moja inatofautiana na zingine?
Screenshot_2019-12-17-20-53-52-1-1.png
 
Back
Top Bottom