Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,370
Akifungua Mkutano wa Baraza hilo leo tarehe 17 / 12/2019 Mh Mbowe amesema , njama za Awamu ya 5 za kuua Chadema zimesababisha mfumuko wa wanachama na viongozi wapya nchi nzima , jambo lililopelekea chama kuimarika zaidi