Baraza Kuu la CHADEMA lakutana Mlimani City

Kusema ukweli, ktk kipindi hiki kwa Chadema kumpa uenyekiti mtu mwingine zaidi ya Mbowe watakuwa wanacheza kamari na kuna uwezekamo mkubwa wa kupoteza nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani. Kwa hali ya sasa ya kisiasa nchini, Chadema wanamhitaji zaidi Mbowe kuliko wakati mwingine wowote tangu mfumo wa vyama vingi uanze.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati jiji la Darikiendelea kuwa kwenye tishio la kumezwa na maji tayari viongozi wa cdm wapo kwenye kikao kizito kwa ajili ya kuipanga safu ya uongozi makini utakao tafuta muarobaini wa tatizo la mafuriko hapa jijini dsm mara tutakapo ingia madarakani baada ya uchaguzi wa 2020.

Hii nchi inahitaji kufanyiwa overhaul kuanzia kwenye mipango miji.

9461EB86-E853-4FEF-8154-4031BC62689B.jpeg

B59476FD-918D-4DA8-88FE-4254C4CB03CB.jpeg

3D94BEE1-874E-4F45-A984-EFC76364EE89.jpeg

0458167E-4E7E-4814-B685-E46238AA9029.jpeg

91759288-5499-4B78-A218-E346BCB9B1A2.jpeg

AF90F8B5-DEC9-4F40-9C57-4C3C9550383C.jpeg

B59476FD-918D-4DA8-88FE-4254C4CB03CB.jpeg

57F9F265-93D8-4A51-A35F-FC59E12A0216.jpeg

D8408F04-3D43-4450-BB26-7CB485F442A1.jpeg

AEA3A2E5-14C8-4241-AEB3-36949A2C7FAF.jpeg
 
Mmoja wa wajumbe wa baraza kuu Mh Nyalandu akishangilia hoja za Mwenyekiti

Kikao cha Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiendelea  ( 425 X 640 ).jpg
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom