imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,034
Raisi wako mwenyewe amechoka wewe huchoki tu.Hayo Mambo ya kujitoa muhanga sisi wana chadema hatuyataki
Wewe utakuwa sio Mtanzania
Raisi wako mwenyewe amechoka wewe huchoki tu.Hayo Mambo ya kujitoa muhanga sisi wana chadema hatuyataki
Wewe utakuwa sio Mtanzania
View attachment 1295157
Furaha iliyoje
Wacha sindano iwaingie mfupani
Wakati jiji la dsm likiendelea kuwa kwenye tishio la kumezwa na maji tayari viongozi wa cdm wapo kwenye kikao kizito kwa ajili ya kuipanga safu ya uongozi makini utakao tafuta muarobaini wa tatizo la mafuriko hapa jijini dsm mara tutakapo ingia madarakani baada ya uchaguzi wa 2020.
Hii nchi inahitaji kufanyiwa overhaul kuanzia kwenye mipango miji.
View attachment 1295139View attachment 1295140View attachment 1295141
Sent using Jamii Forums mobile app
anataka kung’oa bendera
Kawe Alumni wa ujinga..Sisi Wananchi tuliwapigia kura, Mbona sasa mnatumbua ruzuku peke yenu
Leo ndio unajifanya una stara wakati wa kumshambulia lissu mlianza kunywa bia mkitegemea kuwa lisu atavutaAcha kukejeli watu
Leo ndio unajifanya una stara wakati wa kumshambulia lissu mlianza kunywa bia mkitegemea kuwa lisu atavuta
Ninyi hamna ubinadamu hata kidogo wala huruma
Wamependeza sana, hivi hii design ya hizo T-shirts na Gwanda kati ya Chadema na Majizi nani amemuiga mwenzake?
Ofisi ya Chama chetu kikuu Cha upinzani mtajenga lini ili tuwe na ukumbi wetu wa mikutano? Au mnatumbua ruzuku wenyewe na kugawana vyeo?Wakati jiji la dsm likiendelea kuwa kwenye tishio la kumezwa na maji tayari viongozi wa cdm wapo kwenye kikao kizito kwa ajili ya kuipanga safu ya uongozi makini utakao tafuta muarobaini wa tatizo la mafuriko hapa jijini dsm mara tutakapo ingia madarakani baada ya uchaguzi wa 2020.
Hii nchi inahitaji kufanyiwa overhaul kuanzia kwenye mipango miji.
View attachment 1295139View attachment 1295140View attachment 1295141
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofisi ya Chama chetu kikuu Cha upinzani mtajenga lini ili tuwe na ukumbi wetu wa mikutano? Au mnatumbua ruzuku wenyewe na kugawana vyeo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi Wananchi tuliwapigia kura, Mbona sasa mnatumbua ruzuku peke yenu