Baraza jipya la Mawaziri kujulikana Feb 12

jamani nimeona kuna mtu anasema kuwa baraza linatangazwa chamwino, lakini cha ajabu waandishi wa habari wameshafika hapa tamisemi na hivi tunavyoongea niko nyuma ya tamisemi kwenye sheli ya gapco najaza mafuta naona loli kubwaaa sana la tvt limepaki huku jamaa wakiwa wanatengeneza mitambo yao. kazii kwelikweli
 
Wajameeeniii!!

Ni nini kinaendelea?? Niamini kwamba JK hayuko na Protokali yake huko au kila mtu alie karibu nae anatoa taarifa ili aonekene nae ni msemaji? Mara jumatatu ikawa OLAH, jumanne saa nne nayo imepita. Saa nane TAMISEMI nayo hamna kitu. Sasa saa tisa Ikulu ndogo. Sitashangaa ikawa tena sio leo ni kesho kwenye Kasri lake la Pembezoni na bahari ya Hindi. We have to be serious. Protokali ifute mkondo wake pls!!! Hatuko nchi ya Kusadikika
 
Admin na timu yako ya udadavuzi mumetuangusha wanachama wenu ktk mtego huu wa JK.

muda uliopo utumike vema kutupasha ukweli.

Ahsanteni

Wanachama mnajisahau .Hamjui kwamba kudadavua info na kuzimwaga needs time na kila mtu ana maisha yake na JF inakuwa ni baada ya maisha ya mtu ? Hata Invisible ana maisha yake na JF ni kiungo tu .Hakuna alite ajiriwa na JF but we love JF for what it is .Ukianza lawama unakosea.JF ina watu wa kila aina ukiona watu wote hapa wameshindwa kuuingia ngome na kuja na habari uelewe ukubwa wa jambo na unyeti wake badala ya kuanza kumwaga lawama .Mawazo yangu tu haya maana mimi si msemaji wa JF ila sote tunakuja kusemea JF.
 
Jamani mbona mnatuchanganya na hizi habari, TVT muda si mrefu wametoa habari kwamba Rais Kikwete muda huu anashauriana na viongozi wake wakuu na si kulonga na mawaziri aliowateua.
 
jr7k9h.gif
 
Wanachama mnajisahau .Hamjui kwamba kudadavua info na kuzimwaga needs time na kila mtu ana maisha yake na JF inakuwa ni baada ya maisha ya mtu ? Hata Invisible ana maisha yake na JF ni kiungo tu .Hakuna alite ajiriwa na JF but we love JF for what it is .Ukianza lawama unakosea.JF ina watu wa kila aina ukiona watu wote hapa wameshindwa kuuingia ngome na kuja na habari uelewe ukubwa wa jambo na unyeti wake badala ya kuanza kumwaga lawama .Mawazo yangu tu haya maana mimi si msemaji wa JF ila sote tunakuja kusemea JF.

You said it all Lunyungu. Sina la kupinga. JF ipo si kibiashara ila kama kiungo cha kupashana habari haraka iwezekanavyo na kwa uwazi.

Wanaotarajia kuwa LAZIMA flani au flani wataleta info haraka basi wanakwepa wajibu. Kwanini usiwe wewe?

Just feel free to talk it out (as we dare to talk openly). Kuna management ya JF ili kuhakikisha mambo yanakwenda sawa bin sawia lakini si kuwa JF ni flani, JF ni ya watanzania wote bila kujali itikadi zao.

Invisible
 
lowassa_1.jpg


hiki ni kimoja cha vilivyomliza mama Lowassa,Kukaa na wake za mawaziri wa nchi zilizoendelea!
 
Enyi watu wangu watanzania mbona mnaangamia kwa kukosa maarifa, je ni nani aliewaloga? Ni nani aliewaambia ya kwamba baraza`la mawaziri litaleta mabadiliko!

Wajameeeniii!!

Ni nini kinaendelea?? Niamini kwamba JK hayuko na Protokali yake huko au kila mtu alie karibu nae anatoa taarifa ili aonekene nae ni msemaji? Mara jumatatu ikawa OLAH, jumanne saa nne nayo imepita. Saa nane TAMISEMI nayo hamna kitu. Sasa saa tisa Ikulu ndogo. Sitashangaa ikawa tena sio leo ni kesho kwenye Kasri lake la Pembezoni na bahari ya Hindi. We have to be serious. Protokali ifute mkondo wake pls!!! Hatuko nchi ya Kusadikika

Usishangae sana ndugu, hujui kwamba damu ya mtu ni nzito? Mtu kutangaziwa kibarua kimeota nyasi anawezapata msongo sio mchezo na akaamua kufanya kaza wa kazaa. Tuwaombee hao walioteuliwa wapya wasiwa -Moringe 84! Sijui watakodiwa ndege wakati wa kurudi??? Mungu ibariki Tanzania.
 
nnaanzisha thread hii kwa lengo la kufanya utafiti wa wizara zipi zitaunganishwa na kuangalia ni kwa nn zimeunganishwa na mawaziri wapi wamebakia na kwa nn?

na mengi ambayo yatahitaji kuyajadili kuhusu baraza hili la zamani na baraza?

Ukiwaondoa Dk. Msabaha, Karamagi ambao walijiuzulu; Pinda ambaye sasa ni Waziri Mkuu,
mawaziri kamili katika Serikali iliyopita walikuwa ni
1.Kingunge Ngombale-Mwiru (Ofisi ya Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii),
2. Philip Marmo (Ofisi ya Rais, Utawala Bora),
3. Dk. Batilda Burian (Ofisi ya Waziri Mkuu- Bunge),
4. Dk. Hussein Mwinyi (Ofisi ya Makamu wa Rais -Muungano),
5. Profesa Mark Mwandosya (Ofisi ya Makamu wa Rais -Mazingira),
6. Muhammed Seif Khatib (Habari, Utamaduni na Michezo),
7. Zakia Meghji (Fedha),
8. Bakari Mwapachu (Usalama wa Raia),
9. Profesa Juma Kapuya (Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa)
10. Dk. Mary Nagu (Katiba na Sheria).
11. John Magufuli (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi)
12. Basil Mramba (Viwanda, Biashara na Masoko)
13. Joseph Mungai (Mambo ya Ndani),
14. Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa)
15. Dk. Juma Ngasongwa (Mipango, Uchumi na UwezeshaAjira nji)
16. Andrew Chenge (Miundombinu)
17. John Chiligati (Kazi, a Maendeleo ya Vijana)
18. Anthony Diallo (Maendeleo ya Mifugo)
19. Margaret Sitta (Elimu na Mafunzo ya Ufundi)
20. Profesa Peter Msola (Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
21. Stephen Wassira (Kilimo na Ushirika)
22. Profesa David Mwakyusa (Afya na Ustawi wa Jamii).

23. Profesa Jumanne Maghembe (Maliasili na Utalii)
24. Dk. Shukuru Kawambwa (Maji)
25. Sophia Simba (Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto)
26. Hawa Ghasia (Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma).

Ukiwaondoa Dk. Msabaha, Karamagi ambao walijiuzulu; Pinda ambaye sasa ni Waziri Mkuu,
mawaziri kamili katika Serikali iliyopita walikuwa ni
1. Kingunge Ngombale-Mwiru (Ofisi ya Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii),
2. Philip Marmo (Ofisi ya Rais, Utawala Bora),
3. Dk. Batilda Burian (Ofisi ya Waziri Mkuu- Bunge),
4. Dk. Hussein Mwinyi (Ofisi ya Makamu wa Rais -Muungano),
5. Profesa Mark Mwandosya (Ofisi ya Makamu wa Rais -Mazingira),
6. Muhammed Seif Khatib (Habari, Utamaduni na Michezo),
7. Zakia Meghji (Fedha),
8. Bakari Mwapachu (Usalama wa Raia),
9. Profesa Juma Kapuya (Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa)
10. Dk. Mary Nagu (Katiba na Sheria).
11. John Magufuli (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi)
12. Basil Mramba (Viwanda, Biashara na Masoko)
13. Joseph Mungai (Mambo ya Ndani),
14. Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa)
15. Dk. Juma Ngasongwa (Mipango, Uchumi na UwezeshaAjira nji)
16. Andrew Chenge (Miundombinu)
17. John Chiligati (Kazi, a Maendeleo ya Vijana)
18. Anthony Diallo (Maendeleo ya Mifugo)
19. Margaret Sitta (Elimu na Mafunzo ya Ufundi)
20. Profesa Peter Msola (Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
21. Stephen Wassira (Kilimo na Ushirika)
22. Profesa David Mwakyusa (Afya na Ustawi wa Jamii).

23. Profesa Jumanne Maghembe (Maliasili na Utalii)
24. Dk. Shukuru Kawambwa (Maji)
25. Sophia Simba (Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto)
26. Hawa Ghasia (Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma).

Naibu Mawaziri walikuwa ni

27. Dk. Maua Daftari (Miundombinu)
28. Abdisalaam Issa Khatib (Fedha)
29. Zabein Mhita (Maliasili na Utalii)
30. Hezekiah Chibulunje (Viwanda, Biashara na Masoko)
31. Rita Mlaki (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi)
32. Dk. Emmanuel Nchimbi (Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana)
33. Balozi Seif Ali Iddi (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa)
34. Mathias Chikawe (Katiba na Sheria).

Mwantumu Mahiza (Elimu na Mafunzo ya Ufundi)
35. Dk. Cyril Chami (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa)
36. Dk. Lucas Siyame (Ofisi ya Waziri Mkuu-Maafa na Kampeni dhidi ya Ukimwi)
37. marehemu Salome Mbatia (Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto)
38. Dk. Diodorus Kamala (Ushirikiano wa Afrika Mashariki)
39. Dk. Milton Mahanga (Miundombinu),
40. Shamsa Mwangunga (Maji)
41. Dk. Aisha Kigoda (Afya na Ustawi wa Jamii)
42. Ludovic Mwananzila (Elimu na Mafunzo ya Ufundi)
43. Joel Bendera (Habari, Utamaduni na Michezo)
44. Daniel Nzanzugwanko (Habari, Utamaduni na Michezo)
45. Dk. David Mathayo (Kilimo, Chakula na Ushirika).
46. Celina Kombani (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa)
47. Mustafa Mkulo (Fedha)
48. Christopher Chiza (Kilimo, Chakula na Ushirika)
49. Lawrence Masha (Mambo ya Ndani)
50. Gaudencia Kabaka (Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
51. Jeremia Sumari (Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana)
52. Mohamed Aboud (Usalama wa Raia)
53. Dk. Charles Mlingwa (Maendeleo ya Mifugo)
54. Omar Yussuf Mzee (Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa)
55. Gaudence Kayombo (Mipango, Uchumi na Uwezeshaji)
56. William Ngeleja (Nishati na Madini).
 
Usishangae sana ndugu, hujui kwamba damu ya mtu ni nzito? Mtu kutangaziwa kibarua kimeota nyasi anawezapata msongo sio mchezo na akaamua kufanya kaza wa kazaa. Tuwaombee hao walioteuliwa wapya wasiwa -Moringe 84! Sijui watakodiwa ndege wakati wa kurudi??? Mungu ibariki Tanzania.

jamani mie nnauliza ktk hawa mawziri wa kike hakuna alie na mimba?

maana kwa kuwekwa rohho juu hivi inaweza ikaharibika na ikiharibika basi kikwete aju ana husika.

haifai kuwaweka wenziwe roho juu namna hii
 
Back
Top Bottom