Baraka za Kaskazini, Hatimaye Makonda akiri jambo muhimu

Baraka za Kaskazini, Hatimaye Makonda akiri jambo muhimu

Mangi Mlay

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
5,743
Reaction score
7,087
Kwa mara ya kwanza jana Makonda amesema jambo ambalo ni ufunguo wa maisha mambo muhimu sana kama unataka kubadilisha maisha yako Tanzania ni haya
1. Uoe au Kuolewa Kaskazi
2. Usome Kaskazini
3. Uzaliwe Kaskazini

Watu wa Kaskazini Kilimanjaro na Arusha wana IQ kubwa 120+ ukiwa karibu nao mtazamo wako Mindset inabadilika kabisa.

Kila mtu mwenye moja au mawili ya hayo mambo kwanza hakati tamaa, anajua maisha yake ni jukumu laki 100%

Hasubirii serekali kumpa maendeleo binafsi, kila mtu na kila kitu anakiona fursa
 
Kwa mara ya kwanza jana Makonda amesema jambo ambalo ni ufunguo wa maisha mambo muhimu sana kama unataka kubadilisha maisha yako Tanzania ni haya
1. Uoe au Kuolewa Kaskazi
2. Usome Kaskazini
3. Uzaliwe Kaskazini

Watu wa Kaskazini Kilimanjaro na Arusha wana IQ kubwa 120+ ukiwa karibu nao mtazamo wako Mindset inabadilika kabisa.

Kila mtu mwenye moja au mawili ya hayo mambo kwanza hakati tamaa, anajua maisha yake ni jukumu laki 100%

Hasubirii serekali kumpa maendeleo binafsi, kila mtu na kila kitu anakiona fursa
🚮🚮
 
Kweli amewaona marofa hadi kuwahadaa kiasi hiko nanyi mkaingia mkenge.
 
Kwa mara ya kwanza jana Makonda amesema jambo ambalo ni ufunguo wa maisha mambo muhimu sana kama unataka kubadilisha maisha yako Tanzania ni haya
1. Uoe au Kuolewa Kaskazi
2. Usome Kaskazini
3. Uzaliwe Kaskazini

Watu wa Kaskazini Kilimanjaro na Arusha wana IQ kubwa 120+ ukiwa karibu nao mtazamo wako Mindset inabadilika kabisa.

Kila mtu mwenye moja au mawili ya hayo mambo kwanza hakati tamaa, anajua maisha yake ni jukumu laki 100%

Hasubirii serekali kumpa maendeleo binafsi, kila mtu na kila kitu anakiona fursa
umeongea pumba tupu".......kaskazini inakuwaje na IQ kunwa wakati africa tunachangia 1.1 % ya ujuzi wa kisayansi dunian........au n IQ ya kutengeneza mbege?
 
Kwa mara ya kwanza jana Makonda amesema jambo ambalo ni ufunguo wa maisha mambo muhimu sana kama unataka kubadilisha maisha yako Tanzania ni haya
1. Uoe au Kuolewa Kaskazi
2. Usome Kaskazini
3. Uzaliwe Kaskazini

Watu wa Kaskazini Kilimanjaro na Arusha wana IQ kubwa 120+ ukiwa karibu nao mtazamo wako Mindset inabadilika kabisa.

Kila mtu mwenye moja au mawili ya hayo mambo kwanza hakati tamaa, anajua maisha yake ni jukumu laki 100%

Hasubirii serekali kumpa maendeleo binafsi, kila mtu na kila kitu anakiona fursa
Katika hizi tatu;

1. Uoe au Kuolewa Kaskazi

2. Usome Kaskazini

3. Uzaliwe Kaskazini

yeye amekamilisha ipi?
 
umeongea pumba tupu".......kaskazini inakuwaje na IQ kunwa wakati africa tunachangia 1.1 % ya ujuzi wa kisayansi dunian........au n IQ ya kutengeneza mbege?
Hawa hapa wenye "IQ" kubwa

1756292502357.png
 
  • Kicheko
Reactions: UCD

Similar Discussions

Back
Top Bottom