Barabara za mitaani kuamua uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,683
Kwa maoni yangu, moja kati ya mambo ambayo yataamua hatima ya chaguzi za wenyeviti wa vitongoji, mitaa na vijiji, ni barabara za mitaani.

Mvua kubwa za 2023/2024 zimeacha miundombinu hiyo ikiwa imeharibika sana, na ni kero kubwa kwa wananchi
 
Kwa maoni yangu, moja kati ya mambo ambayo yataamua hatima ya chaguzi za wenyeviti wa vitongoji, mitaa na vijiji, ni barabara za mitaani.

Mvua kubwa za 2023/2024 zimeacha miundombinu hiyo ikiwa imeharibika sana, na ni kero kubwa kwa wananchi
🐒 kwani umeme ni tatizo tena? na barabara hivyo hivyo hazitakua tatizo tena..
 
Mbona umewatetea kwamba mvua ndo ilikuwa kikwazo wakati mitaa mingine barabara ni mbovu tu hata kama hakuna mvua
Nimetoa angalizo tu, maana hata Jerry Silaa anajitoa akili lakini anajua ukonga hatarudi, kule kuna mahandaki ya kujificha ngiri, yeye anaziita barabara
 
Watu wameisha kugawana za kutengenezea mwaka mzima
Yaani bajeti ikipita wanatanua midomo kama Mamba anaeota jua
 
Back
Top Bottom