🐒 kwani umeme ni tatizo tena? na barabara hivyo hivyo hazitakua tatizo tena..Kwa maoni yangu, moja kati ya mambo ambayo yataamua hatima ya chaguzi za wenyeviti wa vitongoji, mitaa na vijiji, ni barabara za mitaani.
Mvua kubwa za 2023/2024 zimeacha miundombinu hiyo ikiwa imeharibika sana, na ni kero kubwa kwa wananchi
Umeme sio ishu Sana kama barabara🐒 kwani umeme ni tatizo tena? na barabara hivyo hivyo hazitakua tatizo tena..
Nimetoa angalizo tu, maana hata Jerry Silaa anajitoa akili lakini anajua ukonga hatarudi, kule kuna mahandaki ya kujificha ngiri, yeye anaziita barabaraMbona umewatetea kwamba mvua ndo ilikuwa kikwazo wakati mitaa mingine barabara ni mbovu tu hata kama hakuna mvua
sawa,Umeme sio ishu Sana kama barabara