Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,760
- 8,517
Unaonekana huna hata gari weweWewe dada ni punguwani. EAC imeletwa na Magufuli?? Au unazungumzia barara ya njia 4??
Nchii hii ina ushamba sana. Yaani barabara ya njia nne nayo ni maajabu? Haishangazi kuona tunapokea ndege!! Tunafanya ufunguzi wa mashimo ya vyoo!