hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,435
- 6,283
Ukiwa na wivu Sana mwishowe unajitundika
Na baada Tu ya 28 October, mtaanza kusema yaleyale ya Mbowe,Aachie ngazi
Sijui Watanzania ni waoga Sana
JPM Sjui dikiteta
Sijui Kwa nini police wametuzuia maandamano
Sababu kibaaao hakuna hata la maana
Jibu hoja acha mipasho,
Vijana wa ccm mnatia aibu Sana,
Hoja hujibiwa kwa hoja sio mipasho miiiiingi kama khadija kopa