vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 2,668
- 5,278
Yaani wewe unajufuniaga nguo kumbe hujui kitu
Unatia huruma
Unatia huruma
Jo kuna wakati nadhani zinakufyatuka kidogo
Barabara ya zamani Picha ya ndege mpaka kwa Mfipa madaraja yameshaanza kujengwa
Barabara ya Tamko Mapinga kuna shida na mkandarasi anayetajwa kama Mayanga Construction maana hajajenga hata km 5 tangu 2018
Hiyo ya Kibaha Morogoro iko kwenye maandalizi tangu May