msaka mahela
Member
- Jan 6, 2011
- 10
- 3
polisi mkoani arusha imefunga barabara ya arusha moshi kuwazuia wanachi na wakereketwa wa chadema wa mkoa wa kilimanjaro ambao wanaingia mjini arusha kushinikiza kuachiwa kwa viongozi wao.....! habari zaidi zitafuata..................