Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
CCM wameongeza polisi kutoka Moshi, na sisi tunaongeza wanaharakati kutoka moshi, wakiweka ugoko sisi tunaweka chuma.
huu ujinga uliosababishwa na hawa wahuni wanaoitwa viongozi wa chadema umeligharimu taifa gharama nzito
Mh!patachimbika,inatisha wakuu!!!CCM wameongeza polisi kutoka Moshi, na sisi tunaongeza wanaharakati kutoka moshi, wakiweka ugoko sisi tunaweka chuma.
polisi mkoani arusha imefunga barabara ya arusha moshi kuwazuia wanachi na wakereketwa wa chadema wa mkoa wa kilimanjaro ambao wanaingia mjini arusha kushinikiza kuachiwa kwa viongozi wao.....! habari zaidi zitafuata..................
stop talking from your ass
huu ujinga uliosababishwa na hawa wahuni wanaoitwa viongozi wa chadema umeligharimu taifa gharama nzito
huu ujinga uliosababishwa na hawa wahuni wanaoitwa viongozi wa chadema umeligharimu taifa gharama nzito
kwa sasa hapa arusha watu wana mpango wakufuata polisi mmoja mmoja nyumba hadi nyumba ili kulipitiza kisasi, hii iktokea itakuwa ni hatari zaidi maana kuna wale vijana ambao wameletwa kutoka CCP moshi, hawana makazi hapa arusha. tusibiri chinjachinja nyingine kama kenya.
huu ujinga uliosababishwa na hawa wahuni wanaoitwa viongozi wa chadema umeligharimu taifa gharama nzito
alaa kumbe kuwazuia chadema ni ili wasitoe data za dowans!hii ni thahiri ccm iliiba kura kumuweka kikwete rais watu wameichoka ccm na watu wake kama wanafikiri watafanikiwa kwa hili wamenoa wafanye hrk hasa hili la dowans moto utaendelea mpaka watueleze ukweli tena ukweli tupu.