The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Sijui watafunga ngapi yaani chadema ndio inawatia kiwewe kiasi hicho
kwa sasa hapa arusha watu wana mpango wakufuata polisi mmoja mmoja nyumba hadi nyumba ili kulipitiza kisasi, hii iktokea itakuwa ni hatari zaidi maana kuna wale vijana ambao wameletwa kutoka CCP moshi, hawana makazi hapa arusha. tusibiri chinjachinja nyingine kama kenya.
raia uwa polisi yeyeote atayeingia kwenye anga zako. Polisi waelewe kuwa sisi raia ni wengi kuliko wao na hawana uwezo kuzuia nguvu ya uma, tutwachinja tu hawa wauaji.
kaka kati ya ccm na police wake na chadema ni nani wajinga?huu ujinga uliosababishwa na hawa wahuni wanaoitwa viongozi wa chadema umeligharimu taifa gharama nzito
kaka kati ya ccm na police wake na chadema ni nani wajinga?
huu ujinga uliosababishwa na hawa wahuni wanaoitwa viongozi wa chadema umeligharimu taifa gharama nzito
alaa kumbe kuwazuia chadema ni ili wasitoe data za dowans!
jamaani yupo wapi naibu katibu mkuu zito kabwe?mbona ajitokezi