Trafiki Arusha mmezidi

Trafiki Arusha mmezidi

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,206
Reaction score
14,916
Kipindi Makonda akiwa Rc Arusha alitoa ushauri kwa polisi wa usalama barabarani kupunguza usumbufu kwa wenye vyombo vya moto
Kitendo kilicho saidia hata kupunguza foleni barabarani.
Nita jaribu kutoa mifano ya usumbufu uliopo sasa barabara za Arusha mjini baada ya Makonda kuondoka.
Kama una toka Morombo stand kuna trafiki, ukifika Field force kuna trafiki, ukifika Darajani kuna trafiki, ukifika Safina kuna trafiki, ukija juu kidogo ya Jr uta kutana nao, ukifika Mbauda zambarauni hao hapo, Ngarenaro hao hapo, Summit wengine hao imagine huo ni mwendo ambao hakuna kilomita 10.
Mahali oa dakika kumi sasa tuna tumia dakika 45 hadi saa moja kwa usumbufu wa trafiki, na elewa wanacho taka ni mshiko.. Viongozi wa polisi Arusha tuna omba rekebisheni hili tatizo..
 
Hakuna viumbe vinanikera barabarani kama hao wavaa nguo nyeupe. Ingekuwa ni amri yangu, ningewafukuza wote ili wakashinde na mahabusu wao. Wanapenda sana kuwakuta madereva/waendesha vyombo vya moto na makosa ili watoe rushwa au wawaandikie makosa.
 
Wanatumwa pesa na wakubwa zao haooo
Huo mtandao kuuvunja
Inataka kazi kweri kweri

Ova
 
Jamaa anapenda wapambe na kufatwa fatwa🔐😐
 
Kuna yule mwenye jino la dhahabu wa Njiro road.. naskia anaomba buku buku, sa 1000 si unambless tu kiroho safi
 
Halafu wanapenda kitu kidogo.
Kuna trafik mmoja yupo maeneo ya field force ni mnene karibu tumbo litapasuka.
Duh, leo mida ya jioni, within 45 min traffic 2 wameniomba kitu kidogo, sijawapo chochote, hawa corrupt police wanaendekeza njaa muda wote, hawana aibu kabisa.
 
Kipindi Makonda akiwa Rc Arusha alitoa ushauri kwa polisi wa usalama barabarani kupunguza usumbufu kwa wenye vyombo vya moto
Kitendo kilicho saidia hata kupunguza foleni barabarani.
Nita jaribu kutoa mifano ya usumbufu uliopo sasa barabara za Arusha mjini baada ya Makonda kuondoka.
Kama una toka Morombo stand kuna trafiki, ukifika Field force kuna trafiki, ukifika Darajani kuna trafiki, ukifika Safina kuna trafiki, ukija juu kidogo ya Jr uta kutana nao, ukifika Mbauda zambarauni hao hapo, Ngarenaro hao hapo, Summit wengine hao imagine huo ni mwendo ambao hakuna kilomita 10.
Mahali oa dakika kumi sasa tuna tumia dakika 45 hadi saa moja kwa usumbufu wa trafiki, na elewa wanacho taka ni mshiko.. Viongozi wa polisi Arusha tuna omba rekebisheni hili tatizo..
Kuna mmoja bonge pale Usa River naye huwa anakuwa na tochi ni mla rushwa mkubwa
 
Duh, leo mida ya jioni, within 45 min traffic 2 wameniomba kitu kidogo, sijawapo chochote, hawa corrupt police wanaendekeza njaa muda wote, hawana aibu kabisa.
Imagine mataa ya Arusha Technical yameharibika muda sasa,
Hakuna attention ya police wa usalama barabarani, lakini uta kuta wame jirundika gate la kuingia chuoni oale chini ya miti wana shindana kuomba rushwa kwenye magari.
 
Kipindi Makonda akiwa Rc Arusha alitoa ushauri kwa polisi wa usalama barabarani kupunguza usumbufu kwa wenye vyombo vya moto
Kitendo kilicho saidia hata kupunguza foleni barabarani.
Nita jaribu kutoa mifano ya usumbufu uliopo sasa barabara za Arusha mjini baada ya Makonda kuondoka.
Kama una toka Morombo stand kuna trafiki, ukifika Field force kuna trafiki, ukifika Darajani kuna trafiki, ukifika Safina kuna trafiki, ukija juu kidogo ya Jr uta kutana nao, ukifika Mbauda zambarauni hao hapo, Ngarenaro hao hapo, Summit wengine hao imagine huo ni mwendo ambao hakuna kilomita 10.
Mahali oa dakika kumi sasa tuna tumia dakika 45 hadi saa moja kwa usumbufu wa trafiki, na elewa wanacho taka ni mshiko.. Viongozi wa polisi Arusha tuna omba rekebisheni hili tatizo..
Kikosi maalumu cha wakusanya ushuru barabarani.
 
Huu ni ukweli mtupu, Traffic wa Arusha ni KERO..nahisi pia wapo wengi kuliko uhitaji..RPC Arusha shughulikia hili
 
Huu ni ukweli mtupu, Traffic wa Arusha ni KERO..nahisi pia wapo wengi kuliko uhitaji..RPC Arusha shughulikia hili
Kila anae toka CCP ana taka kuwa trafiki.
Kama hivi sasa kuna wengi sana wako training huko barabarani
 
Wapuuzi Wale Hapo Sakina Eti Wanapiga Live Torch Ila Njaa Mbaya Sana
Kuna kitu huwa nashindwa kuwaelewa hawa trafiki wa Arusha, barabara toka Sakina hadi Tengeru ni double road, na lengo la double road ni kupunguza foleni mijini, kwa kuruhusu magari kutembea,. Kwa trafiki wa Arusha ni kinyume, maana hujificha kwenye maua na kupiga touch ati speed limit ni 50 double road.
Barabara ina njia za baiskeli, ina njia za watembea kwa miguu, ina vivuko lakini jamaa zetu wana sema 50km/h. Mambo ya aibu kabisa
 
Kuna kitu huwa nashindwa kuwaelewa hawa trafiki wa Arusha, barabara toka Sakina hadi Tengeru ni double road, na lengo la double road ni kupunguza foleni mijini, kwa kuruhusu magari kutembea,. Kwa trafiki wa Arusha ni kinyume, maana hujificha kwenye maua na kuoiga touch ati speed limit ni 50 double road.
Barabara ina njia za baiskeli, ina njia za watembea kwa miguu, ina vivuko lakini jamaa zetu wana sema 50km/h. Mambo ya aibu kabisa
Ujinga Pale Arusha Ni Mwingi Sana
 
Back
Top Bottom