za mwizi arobaini, mi nilihisi tu naibiwa! Yaani mtu ukiwa unaibiwa utajua tu! Mara oh tumbo mie leo sijiskii ku do, mara leo kicheni pati ya sweetlady wanaume hawaendi naenda peke yangu, dah kumbe nilikuwa naumizwa kote huko. Sasa ww firstlady em nieleze, kweli ulishawahi kuwa na kichenpati?