Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
CCTV camera hamna hapo darajani?
Ni balaa, wanajeshi wa russia ni wachache lakini very organised na mawasiliano ya kisasa. Najiuliza kama wanajeshi wa amerika wanaweza vita ya man to man kama hawa wa rusia???Hakuna kama Putin kwa sasa,
Huyo ndiye komandoo mwenyewe bhanaaaa.
Nasikia huko Syria hao magaidi wanavyokula kibano balaaà tupu
Hilo bango ni Shule tosha mno kwa Taifa haramu,Marekani na vibaraka wake. Wapo wamarekani ambao wameshachoshwa na huu utawala wa kibabe unaovuruga amani na kusababisha machafuko makubwa ktk nchi za watu hapa duniani hususan Middle East, haikutosha hiyo wakaunda tena kikundi cha isis na kupelekea amani kutoweka, innocent people kuuawa na wengine kuyakimbia makazi yao.' Laanatullaha A'laihim.
Hehehe unamchokoza yuleeeRussia baby
Russia baby
Russia baby
Ahahahahha atakoma,tumechoshwa na ujinga wa Marekani kujifanya wenyewe ndo dunia,Mbabe amerudiHehehe unamchokoza yuleee
Kwani we unawajua Warusi au unajifurahisha,uliza Mrusi amewahi shindwa vita gani aliyoisimamia kama kangaroo,na huyo mmarekani ameshindwa vita ngapi?Sidhani kama mnawajua wamarekani vzuri.don't ever play with American they will never fall down .