DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,315
- 2,739
BANGO KUBWA LA PUTIN LAWEKWA NEW YORK
Polisi walifika na kuliondoa muda mfupi baada ya picha za bango hilo kuanza kusambazwa sana katika mitandao ya kijamii.
Bango kubwa lenye picha ya Rais wa Urusi Vladimir Putin, lililoandikwa "mweneza amani", limewekwa na watu wasiojulikana katika daraja la Manhattan jijini New York.
Bango hilo lililowekwa Alhamisi linamuonesha kiongozi huyo wa Urusi akiwa mbele ya bendera ya Urusi.
Daraja hilo maruufu huunganisha Manhattan na Brooklyn.
Polisi walifika na kuliondoa muda mfupi baada ya picha za bango hilo kuanza kusambazwa sana katika mitandao ya kijamii.
Kufikia sasa hakuna aliyekamatwa.
Polisi wanafanya uchunguzi.
Polisi walifika na kuliondoa muda mfupi baada ya picha za bango hilo kuanza kusambazwa sana katika mitandao ya kijamii.
Bango kubwa lenye picha ya Rais wa Urusi Vladimir Putin, lililoandikwa "mweneza amani", limewekwa na watu wasiojulikana katika daraja la Manhattan jijini New York.
Bango hilo lililowekwa Alhamisi linamuonesha kiongozi huyo wa Urusi akiwa mbele ya bendera ya Urusi.
Daraja hilo maruufu huunganisha Manhattan na Brooklyn.
Polisi walifika na kuliondoa muda mfupi baada ya picha za bango hilo kuanza kusambazwa sana katika mitandao ya kijamii.
Kufikia sasa hakuna aliyekamatwa.
Polisi wanafanya uchunguzi.