kasambalakk
Senior Member
- Apr 2, 2011
- 125
- 17
Wasanii wenzake na Bambo wakiwa na sura za majonzi mara walipofika hospitalini kumwona mwenzao Dickson Samson Makwaya a.k.a Bambo aliyelazwa kitandani.
Picha ya dereva wa pikipiki waliyopata nayo ajali alfajiri ya leo.
Picha ya Bambo
View attachment 32055
dah pole sana kijan..sema kwa kuangilia tu unaweza kusema dereva wa pikipiki hakuvaa element nzito za pikipiki...lakni ajali haina kinga...poleni sana