Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Hivi ofisi zenu ziko wapi? Nataka nije niwatembelee ila hakuna kupigana picha, tafadhali.
Maxence Melo
Maxence Melo
Mkuu sisi tunakwama wapi? Inatakiwa tuandike proposal za kutosha tupeleke kwa BaloziThanks kwa taarifa hii. Big up sana Mkuu @maxence mello na timu yako yote ya bodi, menejiment na wafanyakazi wote wa JF, and lastly but not lest, big up sana kwa sisi wana jf, we are the jf!.
P
Kwanini usimlinde Ndugai?Naomba kazi Jf , hata ya kumlinda Mello
Hajasema kama anahitaji vijana wa kwenda kufanya kazi Sweeden?
Hatari sn
Mkuu, huogopi "KUPAKAZIWA UGAIDI"?Naomba kazi Jf , hata ya kumlinda Mello
ASHA D ndio yupi hapo?Hii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana .
Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUMBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE
Mungu ibariki JF
=========
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao
Hapa ndio kuna wale Mods wakora wanaotushughulikia wakati mwingine bila sababu? Big up Mexence kwa kutoa ajira kwa vijana. Naona kundi kubwa la vijana wamepata ulaji hapo JF. Mungu ampe maisha marefu huyu bwana mdogo.Hii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana .
Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUMBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE
Mungu ibariki JF
=========
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao
Mama lisanii hilo hakuna kitu! Uliona ile alikuwa kwenye taarabu? Eti kwenye public anawazuga Wazungu.Tofauti na Rais wetu Samia amvaye kutwa kuvaaa barakoa na ku keep social distance na kuamini kuwa Corona ni tishio kwa Tanzania na kujitofautisha na watanzania walio wengi kwa kuvaa barakoa na ku ji social distance kuwa yeye si social au sehemu ya majority!!! Ni sehemu ya minority!