Mahmoud Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 264
Jamani inashangaza watu wengi wanazungumzia shinikizo la wazazi, kwa tukio lenyewe lilivyokwenda sioni dalili za shinikizo la mzazi/wazazi, pengine shinikizo la waumini/muumini katika kanisa lao, hapo yawezekana. nasema hivyo kutokana na kwamba wazazi wote walikuwepo kwenye kutunukiwa na kumpongeza sasa hilo shinikizo limekuja lini??? baada ya kufika nyumbani ama wapi?, mimi sioni hata mmoja kati ya wazazi wake kuwa ni muumini wa kweli katika imani za dhati ya kuabudu.