Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Wakina Jaji Bomani hadi wanakuja kuwa barristers wamepiga hapo: Mimi kuna manzi nimefanha naye kazi amesoma LSE na kupita hapo Middle Temple, mziki wake ulikiwa siyo wa kitoto.

Kwanza CV ya Fatma inambeba kwenda kufanya kazi sehemu nyingi duniani. Watamponda tu kwasababu zao binafsi na wivu wivu tu. Kukosea mahakamani mbona wanasheria wengi sana wanakosea hadi majaji nao wanakosea lakini hii haikufanyi wewe kuwa kilaza.

Huwezi kulinganisha The Law School of Tanzania na Middle Temple hata siku moja. Hata Waziri Kabudi amewahu kukiri hadharani kwamba wana mpango wa kuanza kusomesha wanasheria nchi Uingereza ili wawe Barristers.....

Teh teh teh, halafu anakuja mbongo anasema Fatma kasoma vyuo vya kata
Bwahahahahahahahaha.......
Wewe na Ally Karume nani anayemjua vizuri fatuma karume?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misuli full of confidence to the brim. And there certainly you belong. Foolish fool full of fake confidence. Ukitumia misuli kufikiri you come up with such counterfeit corrupt confidence. Kusoma Harvard kuna kusupp na kudisco pia. Siamini kama kuna msomi anaweza kuabudu chuo kikuu fulani kiasi hicho! Nani kakwambia Harvard wote wanagraduate with honours? Misuli come to senses. Yesu alitoka Nazareti. Geniuses wapo na wanatoka popote. What matters is to deliver. Kama una chuki or whatever na Shangazi ni juu yako. Lakini sidhani sana kama una chochote naye. Naona uliapa kupinga yeyote asiyemkubali mkulu. Na Shangazi amemkataa kabisa mkulu.Una PhD katika fani ya kujipendekeza. Foolish laughter you have. Sasa kibwagizo/pambio umepata. Tatizo hapa nikutumia misuli kufikiri. Unakiri wewe si mwanasheria lkn unajua mwanasheria mzuri ni yupi. Full of confidence. Siwezi kukushauri kutumia kitu ambacho huna. Nacho si kingine bali akili. Senses are not that common!
Vipi kakutuma uje umtetee?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Muulize yeye na Ally Karume nani anayemjua vizuri kilaza fatuma karume?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shangaa na wewe, baba yake mdogo kasema ukweli, huyo fatu hananga point mimi huwa namwona anadandia tu speech za JPM ili akosoe. Labda ana hasira baba yake hakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Duh hili povu la nini mkuu?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Huyu shangazi ni nani? Anafana yule mama aliyemdanganya Zitto Kabwe akapinge mahakamani Mswada usiingie bungeni!!
 
Kuna mtu kasoma mpaka levo ya PhD lakini hawezi kuongea sentensi mbili za kingereza
 
Mkuu vigezo vya wakili au Mwanasheria bora ni vipi?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

Sasa mtu aliyesoma mpaka levo ya PhD na kuongea kingereza sentensi tatu hawezi unanichukuliaje
 
Hapa baba mdogo ametumia nafasi yake kama baba ili kumtisha mwanawe. Kwa sababu kama kuna wasomi wa sheria zaidi yake na hawasemi kitu pale inapotokea jambo la kisheria hailiko sawa, si dhani kama ni kosa kwa aliye na elimu ndogo kulisimamia nakuona sheria ina heshimiwa. Ila baba awe muangalifu kwa mwanawe, maana si mtoto/mwanamke wakunyamazia kile anacho kiamini.
 
Sasa mtu aliyesoma mpaka levo ya PhD na kuongea kingereza sentensi tatu hawezi unanichukuliaje
Fungua thread tulijadili hili,now tuko na FATUMA aka wakili UCHWARA.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
TLS wamapungufu ya ujuzi wa uchunguzi ndiyo maana wakachagua kishabiki kupitia wingi wa wanachama katka tasisi yenye kutetea ushoga
na ushetani

Sent using Jamii Forums mobile app
Vp nikuulize mkuu..kati ya chadema na serikali inayoongozwa na ccm nani wanatetea ushoga?..hebu nikumbushe crackdown ya RC makonda ilimalizwaje na Waziri Mahiga?..wa Lumumba mbona mnakuwa wasahaulifu hivi!?Kunya unye wewe msala umtupie mwingine!..only idiot's can do that!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimesoma vyuo zaid ya hicho, alokuambia mimi sili maisha ni nani?Nakula maisha na nitaendelea kula maisha kwa raha zangu.

Who knows?Nobody!

Like me....eeee I'm a president!

In JF anybody can say he/she's anybody!

Hebu tuacheni hizi drama.......
 
Kwaiyo unahisi ana njaa au limbukeni wa teuzi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Atajiju mkuu, yeye apambane na hali yake, nami napambana na hali yangu.
Sikusoma Oxbridge, ila namshukuru Mungu, mambo yangu si mabaya. Watu lazima wewe huru kutoa opinions zao hata kama zinawakwaza viongozi.
Haya mkuu, wikiendi njema, sitaendelea kujibu.
 
Atajiju mkuu, yeye apambane na hali yake, nami napambana na hali yangu.
Sikusoma Oxbridge, ila namshukuru Mungu, mambo yangu si mabaya. Watu lazima wewe huru kutoa opinions zao hata kama zinawakwaza viongozi.
Haya mkuu, wikiendi njema, sitaendelea kujibu.
Hahaha!!

Nimekusoma mkuu,shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom