St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Mh Karume amejitaidi kuongea na mwanae kwa njia ya kiugwana na kumwambia akuna jambo linapendeza kama kuwa heshimu viongozi. Akaenda mbali zaidi nakuelezea elimu alio nayo haina viwango chakumpa uwezo kumshauri Rais.
Mh Karume akasema mara nyingi anamshauri mwanae kuwa siku hizi watu wamesoma na kuthibitisha akasema arudi shule UK asome ile elimu ya juu zaidi alafu afanye kazi kule then akirudi ndipo atakuwa amefikia mahali pakushauri.
Pia anasema sikuhiz watu wamesoma na mwanae anapaswa kujuwa hilo.
Namsifu sana Baloz Karume kasema ukweli japo kwa sisi tunamjuwa hatushangai kuwa amekuwa msitar wa mbele kumkanya mwane mara nyingi sana na kwa hili tunampongeza nimfano wa wazazi wanasema kweli na ndivyo inapaswa tuwe.
Hongera Baloz Karume
Msikilize hapa..