Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,772
- 25,418
Nilishasema na nilitaka kuandika uzi kuhusu yeye ila nikaona kama nitampa kick.
Fatuma anabebwa na jina kubwa la familia yao lakini upstairs hamna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni classic hoja fulani hivi mufilisi!
Fatuma hakuchagua kuzaliwa na rais wa Zanzibar!Amejikuta!
Wewe hukuchagua kuzaliwa mavumbini huko madongo kuinama!Umejikuta!
Ni ukichaa fresh kiwango cha lami mtu kuwahukumu kwa vitu ambavyo hamkua na uwezo navyo!
Sasa wewe ndio unachofanya hapa!
Hoja sahihi ni kwamba,jee ni kweli unampita Fatuma akili kama unavyojidai hapa?
Tuamini kwa wewe kutoa tu sentensi hapa isiyokua na udhibitisho wowote tuone?Tukuamini wewe nani?
Fatuma anatoa hoja na misimamo yake mbalimbali kuhusu mambo mbalimbali,shida mnashindwa kupambana nae kwenye hoja huko mnakuja kumsema kwa vitu personal!
Vingi mnaonesha wivu wa kipumbavu,eti "kwavile kazaliwa familia jina kubwa",sasa yeye alipenda au alichagua?
Yaani hapa humo CCM kuna mambuzi mengi sana!