Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Heri angekaa kimya alinde tumbo lake amwache anaesimama na wanaoonewa,shangazi usimamia ukweli kama Lisu ndio wazalendo wa kweli. Bi Fatuma na Maria Sarungi wanatoka familia zenye misingi na wangeweza tulia wale vya kwao plus uhakika wa teuzi yeyote, Lkn wameviacha vyote hawataki kuwa wanafiki ili kulinda tumbo wanasimamia haki maisha utu ni zaidi ya tumbo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu

Exactly my feelings.....

Atleast hawa wanadamu wanaongea wanapoona uonevu.....walao!

Sasa mapunguani kama hili zee bwabwa balozi,ni majitu ya hovyo mno....

Wakiwazima hawa,sijui tutapata nani hata wa kututetea kwa kusema?

Wote wenye nia mbaya nao na wafe kabisa!
 
Baba soma hiooo!!!
Screenshot_2019-02-02-11-18-11.jpeg
Screenshot_2019-02-02-11-19-05.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
She's such a poseur! Ukimcheki youtube huyu fatma hata uongeaji wake ni wa kulazimisha body language aonekane mtu mwenye confidence!
Confidence flows naturally, sio unafosi!
Weka mbali personalities weakness ata wewe tungekuwa tunakujua basi ukute basi ukute wakati wa kutype kwenye keybord yako mavidole yako waga yanalowa jasho yote na kuwa kama vile yamemwagiwa maji je kutokana n ilo nasi tuidharau academic perfomance yako (kama utakuwa nayo lakini) stick with hoja jadili hoja inayojadiriwa apa na sio huu ujinga unaouleta apa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa hapingi Per se bali alikuwa anampinga kaka yake ambaye alikuwa mwanzilishi wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Hiyo familia imegawanyika sana mpaka kisiasa.
Kaka mtu jabali he did it his way kujenga umoja wa wanzabari.Wanzabari Kamwe wanamheshimu kwa hili.
 
Kwamba huko uingereza alienda kwa kufaulu au kubebwa na mbereko ya mtoto Wa Rais?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mafanikio yoyote hayaji mpaka kuwe na kitu cha kukubeba hata kama ni uwezo wako binafsi uwezo wako ndio uliokubeba,ndio maana kunamsemo unaosema kuwa mbuzi anakula sawa na urefu wa kamba yake.
 
Unajua maana ya mpwa kweli? Karume kwa karume wanakuwaje wapwa
 
Wewe dada,

Umesoma chuo gani na umemzidi nini Fatuma?

Na hoja zake umezijibu kwanza au umeamua kurukia na ku-attack her education path maana wewe yako Princeton-Stanford-MIT-Yale-Harvard?
Hana hoja kazi yake ni kurukia rukia tu, hana lolote. Hakuna critical ideas anazoanzishaga zaidi ya kurukia rukia tu hotuba ili akosoe. Not a critical thinker
 
Kumbe kasomea chuo cha kata Wingereza [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787].Ana mdomo kumbe kilaza tu.
London School of Economics and Political Science is one among the best Universities in the world. Nina uhakika wewe huwezi kwenda kusoma pale hata siku moja. Teh teh teh....

Middle Temple London walisona wakina Mzee Jaji Bomani na kuwa barristers. Ila yote tisa, huyu Fatma Karume hata angesoma TEKU wewe usingemshinda maisha hata siku moja.

Mtoto wa mkubwa ni mtoto wa mkubwa tu: Amekula maisha tokea utotoni na anaendelea kula mpaka sasa. Wewe endelea kuwa na wivu wako tu, lakini ukweli ni kwamba amekushinda maisha.

Eti LSE ni chuo cha kata....
Bwahahahahahahahahahahaa.
 
Hana hoja kazi yake ni kurukia rukia tu, hana lolote. Hakuna critical ideas anazoanzishaga zaidi ya kurukia rukia tu hotuba ili akosoe. Not a critical thinker
Huu ni wivu na hasira za maisha. Hivi kule CCM nani ni critical thinker ?? Nitajie hata wawili basi....
 
Hana hoja kazi yake ni kurukia rukia tu, hana lolote. Hakuna critical ideas anazoanzishaga zaidi ya kurukia rukia tu hotuba ili akosoe. Not a critical thinker

Vicky

Hana hoja kwako wewe...kwa sisi wengine ana matter highly!

Cha msingi ni wewe kutupa mbadala wa hoja zake yeye..utushawishi tukufuate wewe kwa hoja zako!

Sio unaanza ku-criticize her educational path as if wewe ulikua una akili sana hujawahi pata chini ya A!

Inaonesha umeshindwa kwenda nae hoja by hoja ukamtoa knockout ukaamua kwenda shortcut kuvamia shule yake which is a bitch move!

Sisi tunampenda walao anatusemea anapoona uonevu mahali,sio nyie mnaona uonevu mahali mnanyamaza as if nothing is happening!

Kwanini ana-connect more na sisi,kwasababu kikwetu sisi ana-make more sense zaidi yenu nyie!

Beat her kwa kuchakaza hoja zake,sio unachukua shortcut tu eti "hana hoja",jibu rahisi sana hata punguani anaweza tamka "hana hoja"....Hana hoja kivipi,ndio tunataka!

Vicky nakuona mjanja na picha yako ya Gabrielle Union,ila sometimes una majibu mafupi mno mpaka nakushangaa!
 
in
mod futilia mbali uzi wa kiboya huu, eti mpwa wake hili jitu limetok wapi lisilojuwa kiswahili kolomije, muraa au Hanang. pia huyo Fatma anatumia uhuru wa kutoa maoni
Unajua maana ya mpwa kweli? Karume kwa karume wanakuwaje wapwa
Nadhani swali hilo la maana ya neno mpwa muwaulize Mods walioamua kuunganisha uzi wangu na wa mkuu mwingine. Msinishambulie kwa kitu ambacho sijafanya wala kukiandika. BTW nina uwezo mkubwa sana wa lugha tofauti zaidi ya tano na kiswahili ni mojawapo ya lugha ninazozielewa na kuzungumza kwa ufasaha..
 
Vicky

Hana hoja kwako wewe...kwa sisi wengine ana matter highly!

Cha msingi ni wewe kutupa mbadala wa hoja zake yeye..utushawishi tukufuate wewe kwa hoja zako!

Sio unaanza ku-criticize her educational path as if wewe ulikua una akili sana hujawahi pata chini ya A!

Inaonesha umeshindwa kwenda nae hoja by hoja ukamtoa knockout ukaamua kwenda shortcut kuvamia shule yake which is a bitch move!

Sisi tunampenda walao anatusemea anapoona uonevu mahali,sio nyie mnaona uonevu mahali mnanyamaza as if nothing is happening!

Kwanini ana-connect more na sisi,kwasababu kikwetu sisi ana-make more sense zaidi yenu nyie!

Beat her kwa kuchakaza hoja zake,sio unachukua shortcut tu eti "hana hoja",jibu rahisi sana hata punguani anaweza tamka "hana hoja"....Hana hoja kivipi,ndio tunataka!

Vicky nakuona mjanja na picha yako ya Gabrielle Union,ila sometimes una majibu mafupi mno mpaka nakushangaa!
Hivi Wyatt unakufahamu huko Middle Temple kwenyewe aliposoma huyu Fatma Karume ??

Halafu cha kushangaza sana ni kwamba LSE ni one among the top ten best law schools in the world. Mimi watanzania huwaga siwaelewagi hata kidogo.
 
Nimeona Fatma amemjibu mtu Twitter aliyetaka maoni yake kuhusu hili akajibu "Baba wadogo wengine wanadhulumu mali za watoto Baba akifa ila mimi nina bahati wa kwangu ananishauri nikasome" hili jibubutajua kwamba Fatma sio kilaza kama wana Lumumba wanavyotaka tuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Kuandika Haujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikiliza baba ake anavyomchambua nafikiri hutamkweza huyo fatuma hata kdg.Angekua intelligent angesoma vyuo vyenye heshima huko aliko pelekwa. Cambridge na Oxford alichemka. Ndio maana father anahoji huu ujuaji mwingi unatoka wapi?Na ni kweli kabisa, Yaani Fatuma mjuaji kuliko hata Chenge wa Harvard university hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

Hahahaha
So true walahi uwiii
Mambo yamekuwa mambo walahi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Wyatt unakufahamu huko Middle Temple kwenyewe aliposoma huyu Fatma Karume ??

Halafu cha kushangaza sana ni kwamba LSE ni one among the top ten best law schools in the world. Mimi watanzania huwaga siwaelewagi hata kidogo.

Mkuu

Nakijua sana,tena jina lake kamili ni The Honorable Society of the Middle Temple au simply Middle Temple!

Tena ni among the only 4 UK's Inns of Court exclusively entitled to call their members into English Bar as barristers!

Sasa hawa mapunguani humu wanafananisha hii kitu na mavi ya vyuo hapa mavumbini!

Yaani kasoma huko misituni TEKU or whatever that is,anakuja hapa anaongea mavi...

Ndio maana Fatuma anawashinda kesi kila siku mahakamani!

Hawa watu wakuonea huruma tu mkuu!

Geez!
 
Back
Top Bottom